utafiti kuhusu kikwete??....really???
ana lipi la kufanyia utafiti?
Wana JF,
Jana Mkulu alipokuwa anaongea na sisi aliibua tahadhari kwa wananchi wa Igunga kutotumiwa na Wanasiasa kufanikisha maslahi binafsi na tamaa ya madaraka iliyovuka mipaka. Nimekuwa najiuliza, hao ni wanasiasa gani? Je, alikuwa akiwasema Magamba au Magwanda? Na kwamba, mipaka ya tamaa ya madaraka ni ipi ili yeye apime tamaa iliyovuka mipaka? Je, mipaka ni zile juhudu za chama kung'ang'ania madaraka hata kwa gilba, wizi na kuchakachua?
magwanda wakishindwa kwenye uchaguzi huwa wanatamani kutumia nguvu ya umma ili kubadilisha matokeo hali inayoweza kusababisha uvunjifu wa amani; sasa mkuu wa kaya anawatahadharisha msithubutu kufanya vitendo vyovyote vya uvunjifu wa amani, kwani mtajuta kuzaliwa!!!Onyo la nini takeurabu?
Anaongelea wanasiasa wahuni kama wa cdm ambao wapo tayari kuingia ikulu hata kwa kumwaga damu kama walivyoleta mungiki igunga!
magwanda wakishindwa kwenye uchaguzi huwa wanatamani kutumia nguvu ya umma ili kubadilisha matokeo hali inayoweza kusababisha uvunjifu wa amani; sasa mkuu wa kaya anawatahadharisha msithubutu kufanya vitendo vyovyote vya uvunjifu wa amani, kwani mtajuta kuzaliwa!!!
Anaongelea wanasiasa wahuni kama wa cdm ambao wapo tayari kuingia ikulu hata kwa kumwaga damu kama walivyoleta mungiki igunga!
katika sifa nadra alizonazo jk ambayo hata wanaomkosoa walikuwa wakiikubali ni uvumilivu na kuonekana muungwana. sijui imekuwaje sasa ameanza kukosa sifa hizo na pengine wanaomshauri wanampeleka kubaya. katika hotuba yake ya mwsho wa mwez anawaita wapinzan wake wanye tamaa ya madaraka. hii si kaul inayotarajiwa kwa kiongoz kama yeye. alikuwa anatarajia nn ulipotangazwa uchaguz igunga. au alitaka vyama vinine visishrik ndiyo aone kwamba hawana tamaa ya madaraka
''Swali la kijingha ambalo linastahili jibu la kijinga.Nimemsikiliza, sasa kama yeye hana uchu wa madaraka mbona alitumia familia nzima kukampeni mwaka jana, na usalama wa taifa juu
Wana JF,
Jana Mkulu alipokuwa anaongea na sisi aliibua tahadhari kwa wananchi wa Igunga kutotumiwa na Wanasiasa kufanikisha maslahi binafsi na tamaa ya madaraka iliyovuka mipaka. Nimekuwa najiuliza, hao ni wanasiasa gani? Je, alikuwa akiwasema Magamba au Magwanda? Na kwamba, mipaka ya tamaa ya madaraka ni ipi ili yeye apime tamaa iliyovuka mipaka? Je, mipaka ni zile juhudu za chama kung'ang'ania madaraka hata kwa gilba, wizi na kuchakachua?