Talaka zimefika 230,755 kuna jambo la kujifunza ?

kaachonjo

JF-Expert Member
Oct 27, 2012
203
68
Divorce-Image.jpg

TAKWIMU RASMI za tanzania bara pekee zimeonesha kuwa zaidi ya talaka 683,617(2.9%)
wajane 749,739(3.1%) walioachana bila taraka 230,755(1.0) ila pia takwimu zinaonesha kuwa wapenzi wanaoishi pamoja bila ndoa rasmi wamefikia 1,573,992 sawa na asilimia 6.6. hivyo basi idadi ya mabachela nayo si haba maana inatengeneza asilimia 35.5 sawa na 8,465,009 huku pia ndoa rasmi zinazotambulika zinafikia 12,155,757 kwa watanzania wenye umri wa miaka 15+
source: nbs.go.tz/nbs/takwimu/census2012
------
tawimu hii pekee inaonesha kuna doa mahali ! kuna sababu za msingi zinazosababisha ndoa kuvunjika na watu kuachana. ila pia idadi ya watu wazima wanaoishi bila ndoa au maarufu kama mabachela nayo ni kubwa Mno. nadhani watafiti wanatakiwa kutueleza nini tatizo ?
 
Labda wanawake wanakimbia shughuli nzito ya wanaume wa mikoani maana hao ndiyo wanaongoza kwa talaka
 
TAKWIMU RASMI za tanzania bara pekee zimeonesha kuwa zaidi ya talaka 683,617(2.9%)
wajane 749,739(3.1%) walioachana bila taraka 230,755(1.0) ila pia takwimu zinaonesha kuwa wapenzi wanaoishi pamoja bila ndoa rasmi wamefikia 1,573,992 sawa na asilimia 6.6. hivyo basi idadi ya mabachela nayo si haba maana inatengeneza asilimia 35.5 sawa na 8,465,009 huku pia ndoa rasmi zinazotambulika zinafikia 12,155,757 kwa watanzania wenye umri wa miaka 15+
anyway takwimu hizi zinazofursa lukuki kibiashara ! unadhani unaweza kuibuka na ipi hapo ili kutatua tatizo ?
 
Wakati ukuta ukipambana nao utaumia mwenyewe. ... hii hali eventually ita ji sort yenyewe. ....changes za Duniani ni nyingi mno....stay calm move with tides
Have a blessed Sunday my friend. ..
 
anyway takwimu hizi zinazofursa lukuki kibiashara ! unadhani unaweza kuibuka na ipi hapo ili kutatua tatizo ?
Hapo naona fursa za kumwaga za biashara,halali na haram

1.vituo vya ushauri wa kisaikologia na upatanishi (nimesahau jina lake rasmi)
2.Uuzaji wa jumla/rejareja wa kondom za kishua (ruff ryder,trojan,durex,kimono)
3.Uuzaji wa sex toys na vilainishi(maana inaonekana watu hawaridhishani)
4.Vituo vya uzazi wa mpango
5.Fitness center (watu wamekua vibonge sana hense kupunguza ufanisi kitandani,leading to migogoro
6.Tanzanias very own dating site ( nmemiss marafiki.com)
etc etc
 
Hapo naona fursa za kumwaga za biashara,halali na haram

1.vituo vya ushauri wa kisaikologia na upatanishi (nimesahau jina lake rasmi)
2.Uuzaji wa jumla/rejareja wa kondom za kishua (ruff ryder,trojan,durex,kimono)
3.Uuzaji wa sex toys na vilainishi(maana inaonekana watu hawaridhishani)
4.Vituo vya uzazi wa mpango
5.Fitness center (watu wamekua vibonge sana hense kupunguza ufanisi kitandani,leading to migogoro
6.Tanzanias very own dating site ( nmemiss marafiki.com)
etc etc
nadhani una mawazo mazuri bro/ ila kati ya hayo tuchague moja tuliboreshe tuchangie mawazo liwe la kibiashara ... mimi nachagua family court au hicho kituo cha uhauri na familia ! ila pamoja na hayo yote wazojingine ni kuwekeza kwenye tafiti za kujua ni nini hasa vyanzo vya ndoa kuvunjika ?
 
Back
Top Bottom