Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Haaa haaa best hujatulia....halafu LE SUPER MTINDIZZ ana lafudhi ya kihaya, kumbe anavyochekaga ktk post & comments hata live vile vile, haaaa haaaa haaaa u know

Jamani nimecheka sana
 
Mie simuombei mabaya hata siku moja lakini abadilike life style anayoishi si njema hata kidogo , huwezi kuishi kwa kutafuta mabifu na kila mtu hapa duniani....

Kwani yeye moyoni mwake anajisikiaje jamani ?
Na mungu huwa sio wa Athuman wala Abdalah pekee
Mange ni wakati wa kujitathimini na kuishi maisha ya kumpendeza muumba wako
 
We mzee mbona unakuwa na akili za kitoto kwa umri wako sio sawa kushindana na kujibishana na wanawake kwenye mitandao unatuaibisha wanaume,juz kuna habari ilisambaa kwamba unaiba picha za vyakula harafu unapost kujifanya ndio vyakula anavyokula sio poa acha kufake maishaView attachment 372939hiyo picha ulipost kujifanya umekula huo msosi kumbe uliiba walivyo kushtukia ukafuta fasta hiyo picha ukaamua kupost kuomba msamaha picha hii hapaView attachment 372941harafu kumbe unabinti mkubwa tu sasa anapoona baba yake anabishana na wanake na kuiba picha za vyakula mitandaoni unafikiri wanajisikiaje watakuwa wanakuzalau.

- natafuta mfanyakazi kwenye kampuni yangu please tuma maombi ok, tuma maombi kwenye willymalec@gmail.com please maana mtumzima mwenye kazi na maisha hawezi kuhangaika kuandika ujinga ujinga kama huu mitandaoni!!

le Mutuz Nation
 
kasema yule mbebi marha sio wako eti
eti yeye ndo anakufaa
kibibi kichawi galula eti le mutuz kinakufaa?

- Kuna mambo ya wanawake huwezi kuwaelewa zaidi ya kuwaachia wenyewe, nimefika Karatu mgeni simjui mtu kabisa huyo mbebezzz akwa wa kwanza kunifuata Hotelini akasema yeye ni my Instagram super fan na kunichukua mjini mpaka kwenye project zake na kila mahali akiniendesha mwenyewe kwa gari lake, na mpaka kuanza kumpost ni maridhio yake mwenyewe na mengine yote mpaka kunipa picha zake za Private ambazo hana Instagram. Then ni yeye huyo huyo aliyekwenda kunibadilikia and then akaanza kunipigia simu analia so ni vigumu sana kuwaelewa wabebezzz sometimes.

le Mutuz Nation
 
- Kuna mambo ya wanawake huwezi kuwaelewa zaidi ya kuwaachia wenyewe, nimefika Karatu mgeni simjui mtu kabisa huyo mbebezzz akwa wa kwanza kunifuata Hotelini na kunichukua mjini mpaka kwenye project zake na kila mahali akiniendesha mwenyewe kwa gari lake, na mpaka kuanza kumpost ni maridhio yake mwenyewe na mengine yote mpaka kunipa picha zake za Private ambazo hana Instagram. Then ni yeye huyo huyo aliyekwenda kunibadilikia and then akaanza kunipigia simu analia so ni vigumu sana kuwaelewa wabebezzz sometimes.

le Mutuz Nation
Wasikuangaishe hao akili ndogo! Just do your things
 
- Kuna mambo ya wanawake huwezi kuwaelewa zaidi ya kuwaachia wenyewe, nimefika Karatu mgeni simjui mtu kabisa huyo mbebezzz akwa wa kwanza kunifuata Hotelini na kunichukua mjini mpaka kwenye project zake na kila mahali akiniendesha mwenyewe kwa gari lake, na mpaka kuanza kumpost ni maridhio yake mwenyewe na mengine yote mpaka kunipa picha zake za Private ambazo hana Instagram. Then ni yeye huyo huyo aliyekwenda kunibadilikia and then akaanza kunipigia simu analia so ni vigumu sana kuwaelewa wabebezzz sometimes.

le Mutuz Nation

You never know with a woman......J H Chase
 
- Kuna mambo ya wanawake huwezi kuwaelewa zaidi ya kuwaachia wenyewe, nimefika Karatu mgeni simjui mtu kabisa huyo mbebezzz akwa wa kwanza kunifuata Hotelini na kunichukua mjini mpaka kwenye project zake na kila mahali akiniendesha mwenyewe kwa gari lake, na mpaka kuanza kumpost ni maridhio yake mwenyewe na mengine yote mpaka kunipa picha zake za Private ambazo hana Instagram. Then ni yeye huyo huyo aliyekwenda kunibadilikia and then akaanza kunipigia simu analia so ni vigumu sana kuwaelewa wabebezzz sometimes.

le Mutuz Nation
Wanawake wenyewe hawawaelewi wanawake.sie wanaume ndo tutawaelewa?.Ila umaarufu ni mzigo mgumu sana kuubeba,aheri nyie wenye mioyo
 
- Kuna mambo ya wanawake huwezi kuwaelewa zaidi ya kuwaachia wenyewe, nimefika Karatu mgeni simjui mtu kabisa huyo mbebezzz akwa wa kwanza kunifuata Hotelini akasema yeye ni my Instagram super fan na kunichukua mjini mpaka kwenye project zake na kila mahali akiniendesha mwenyewe kwa gari lake, na mpaka kuanza kumpost ni maridhio yake mwenyewe na mengine yote mpaka kunipa picha zake za Private ambazo hana Instagram. Then ni yeye huyo huyo aliyekwenda kunibadilikia and then akaanza kunipigia simu analia so ni vigumu sana kuwaelewa wabebezzz sometimes.

le Mutuz Nation
Le mutuz tunakukubali sana,tatizo ni yaani wewe na exposure yako yote unamuona Magufuli can do no wrong? una betray principles zako just for the sake ya kum please mtu anaye shikilia shoka-ukitegemea indirectly or directly tonge litaangukia kwako-this is so sad
 
Le mutuz tunakukubali sana,tatizo ni yaani wewe na exposure yako yote unamuona Magufuli can do no wrong? una betray principles zako just for the sake ya kum please mtu anaye shikilia shoka-ukitegemea indirectly or directly tonge litaangukia kwako-this is so sad

- Mimi ninamiliki kampuni ya Social Media ambayo hata Rais uwe wewe sikuhitaji maana biashara yangu haina anything to do na Rais aliyeko madarakani au Chama ninchokiamini, so take back maneno yako aimini unachotaka na niache niamini ninachotaka mradi sivunji Sheria za jamhuri. Next time jitahidi kupangilia hoja sema ninavunja Sheria za Jamhuri kwa kuamini ninachoamini.

le Mutuz
 
- Mimi ninamiliki kampuni ya Social Media ambayo hata Rais uwe wewe sikuhitaji maana biashara yangu haina anything to do na Rais aliyeko madarakani au Chama ninchokiamini, so take back maneno yako aimini unachotaka na niache niamini ninachotaka mradi sivunji Sheria za jamhuri. Next time jitahidi kupangilia hoja sema ninavunja Sheria za Jamhuri kwa kuamini ninachoamini.

le Mutuz
Sawa huvunji sharia,but to make ends zikutane,una lick a--es.Back then,ulikuwa a man of principles,nadhani aliyekuroga kapotea na ndege ya air malaysia
 
- natafuta mfanyakazi kwenye kampuni yangu please tuma maombi ok, tuma maombi kwenye willymalec@gmail.com please maana mtumzima mwenye kazi na maisha hawezi kuhangaika kuandika ujinga ujinga kama huu mitandaoni!!

le Mutuz Nation
Acha kuleta mbwembwe nilikuwa najua watu wanavyoandika kwamba unaishi kidananda wanakusingizia kumbe kweli unaiba picha za vyakula harafu unapost kwamba umekula huoni kama unajiaibisha
1470067870705.jpg
1470067922033.jpg
harafu kumbe unabinti mkubwa tu sijui anavyoona unawashika viuno mabiti wa umri wake sijui uwa anakuchukuliaje?
1470068130410.jpg
 
Acha kuleta mbwembwe nilikuwa najua watu wanavyoandika kwamba unaishi kidananda wanakusingizia kumbe kweli unaiba picha za vyakula harafu unapost kwamba umekula huoni kama unajiaibishaView attachment 374526View attachment 374527harafu kumbe unabinti mkubwa tu sijui anavyoona unawashika viuno mabiti wa umri wake sijui uwa anakuchukuliaje?View attachment 374528

- again kama unatafuta ajira karibu sana maana unachoandika ni dalili za kutokuwa na maisha, hahahahahaa pole sana

le Mutuz NAtion
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom