tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Waziri Magufuli anasifika kwa kutaja takwimu mbalimbali zinazohusu wizara yoyote anayoiongoza. Katika kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV, Magufuli alikuwa anajikanganya katika kutoa takwimu kama vile za makandarasi. Mfano, mara anasema makandarasi wako mia saba mara mia tisa. Hilo likanifanya nihisi kwamba pengine data zake haziko sahihi.
Pia katika kipindi hicho, Maufuli hakumpa mtangazaji nafasi ya kumuuliza maswali ili aweze kueleza issues za wizara yake isipokuwa alichokifanya ni kutaja data mpaka mwisho wa kipindi!
Pia katika kipindi hicho, Maufuli hakumpa mtangazaji nafasi ya kumuuliza maswali ili aweze kueleza issues za wizara yake isipokuwa alichokifanya ni kutaja data mpaka mwisho wa kipindi!