Takwimu: Udsm yazidi kuporomoka kwa ubora

NOT FOUND

Senior Member
Mar 14, 2011
158
59
unapozungumzia mafanikio ya elimu nchini tanzania hutaacha kukitaja chuo kikuu cha dar es salaam (udsm), miaka kadhaa iliyopita chuo hiki kilikuwa miongoni mwa vyuo 15 bora katika bara la africa, lakini kwa takwimu za mwaka huu 2011, chuo hiki kimeporomoka hadi kufikia nafasi ya 34.

Hili ni anguko la kielimu sio tu kwa udsm bali kwa tanzania kwa ujumla, kwani katika vyuo vikuu 100 bora barani africa, tanzania kipo chuo kimoja tu ambacho ni udsm, huku wenzetu wa kenya wakiwa na vyuo visivyopungua 7 ndani ya 100 bora.

Wakati huo huo, chuo ambacho kilikuwa kina compete na udsm katika ukanda huu wa afrika mashariki, makerere, kimefanikiwa kupiga hatua kubwa na kuiacha udsm mbali hadi kuingia 10 bora.

Je ni sababu gani zilizopelekea udsm kuporomoka kwa kiwango hicho? Na kwa rate ya kuporomoka kwake, si ajabu baada ya miaka 4, kikatoka kabisa ndani ya 100 bora.

Kama chuo kinachoaminika tanzania udsm, kimeporomoka kwa kiwango hicho, tutarajie nini kwa vyuo kama udom, mzumbe, sokoine etc.

source: http://www.webometrics.info/top100_continent.asp?cont=africa

N.B:
CHUO KIKUU CHA AFYA MUHIMBILI (MUHAS) KINASHIKA NAFASI YA 11940 KATI YA VYUO 12000 DUNIANI.

source: http://www.webometrics.info/rank_by_country.asp?country=tz
 
naomba nichangie nikiwa mhitimu kutoka UDSM .
hiki ni kifo na kamwe ndani ya utawala huu wa JK tusitarajie hata cku 1 elimu ikapanda,itashuka to deadly point ...sasa kuondoa multiculation exams japo wanasema ilihusisha 'malpractices' bado kwangu mimi naona umuhimu wake
sahivi pale panaitwa "Manzese" kutokana na sera kwamba kila mmoja asome University,hili ni sawa na lile la kupeleka watoto wote form1 kwa promosheni bila ya vigezo husika ..matokeo ni zero huko form 1V.,
pale chuo siku hizi siasa imeingilia kila kitu..pale CoET zana za kufundishia ni mitambo ya enzi za Nyerere..leo 21stC?
wanafunzi hawana pa kulala,hawana vitabu vya kutosha,Maprofesa/Madakta wanategwa sumu/uawa kila leo ..migomo nayo mtindo mmoja. tutaraji nini??mie nimetoka pale chuo kikishika nafasi ya 26 ...Lecturers wote wanakimbilia siasa nani leo afundishe ??hawalipwi mishahara minono wakidai wanaambiwa wanafanya siasa..siasa? kama serikali inawanyanyapaa nani akae pale afe na njaa? eti mwanasiasa form1V analipwa zaidi ya PhD/Prf...kama sio dhiaka tuiteje?na kwa nini Prf afe na njaa?
 
naomba nichangie nikiwa mhitimu kutoka UDSM .
hiki ni kifo na kamwe ndani ya utawala huu wa JK tusitarajie hata cku 1 elimu ikapanda,itashuka to deadly point ...sasa kuondoa multiculation exams japo wanasema ilihusisha 'malpractices' bado kwangu mimi naona umuhimu wake
sahivi pale panaitwa "Manzese" kutokana na sera kwamba kila mmoja asome University,hili ni sawa na lile la kupeleka watoto wote form1 kwa promosheni bila ya vigezo husika ..matokeo ni zero huko form 1V.,
pale chuo siku hizi siasa imeingilia kila kitu..pale CoET zana za kufundishia ni mitambo ya enzi za Nyerere..leo 21stC?
wanafunzi hawana pa kulala,hawana vitabu vya kutosha,Maprofesa/Madakta wanategwa sumu/uawa kila leo ..migomo nayo mtindo mmoja. tutaraji nini??
 
Na idadi ya wanafunzi ikipunguzwa wakachukua fulani tu, jee mulioachwa hamutalalamika?
 
What is the criteria? maana hizi takwimu zinatofautiana kutokana na source. Ukienda www.4icu.org/topAfrica utakuta udsm inang'ara ni no. 13 Nairobi no. 12 wakati makerere ni no. 23.
 
Nidham na maadili yameshuka mpaka kwenye elimu automatically ubora nao lazima upungue. Juhudi za lazima zinahitajika kuondoa hali hii ila kwa utawala wetu unasifia uwepo wa wanafunzi wengi shuleni na vyuoni bila kuangalia ubora wa wanachokipata wanafunzi hao sidhani kama kuna ukombozi wa elimu.
 
What is the criteria? maana hizi takwimu zinatofautiana kutokana na source. Ukienda www.4icu.org/topAfrica utakuta udsm inang'ara ni no. 13 Nairobi no. 12 wakati makerere ni no. 23.

HAO 4icu.ORG HAWAZUNGUMZII UBORA WA CHUO, WANAZUNGUMZIA POPULARITY ON THE WEB.

HAO WEBOMETRIC WANAZUNGUMZIA UBORA.
 
:disapointed: Je hizi takwimu wanazijua wahusika au mpaka nao wasurf? Mana wengi wao hawana huo muda wa kusurf na kupata info kama hizi.. kazi ya ziada inahitajika kwa kweli sio utani

Siku moja nilisikia BBC kiswahili ikimhoji huyu dean wa school of business ya UDSM kuhusu uchakachuaji uliopo hapo school of business akasema sio kweli hakuna anaepata degree pasipo juhudi na kufikia kiwango anachostahili kufikia, ila to my thinking ni kuwa japo hata kama ni kweli wanachakachua sio rahisi kwake kulisema waziwazi kwenye chombo cha habari.

Kwa tetesi nilizonazo ni kuwa kwa pale UDSM haswa pale school of business (UDBS) nasikia uchakachuaji ni mwingi mno,kiwango kimeshuka sana walimu pale kila mtu yupo business oriented hata MBA wameipa a.k.a inaitwa Advanced B.Com mana madesa waliyotumia MBA wa 2002 ndo yale yale hata wewe unaetarajia kufanya MBA 2012 utatumia hayo hayo hakuna jipya.

Nachoamini ni kuwa kati ya vilaza na vipanga wapo, kati ya wazembe na wachapakazi wamo, na pia kati ya wahujumu na wazalendo wapo vilevile, ivo basi hata kwa wanaochangia kiwango kushuka pia wapo wanaopigania kiwango kipande...so tuna safari ndefu sana majirani zangu tukaze roho na kuomba Mungu!
 
HAO 4icu.ORG HAWAZUNGUMZII UBORA WA CHUO, WANAZUNGUMZIA POPULARITY ON THE WEB.

HAO WEBOMETRIC WANAZUNGUMZIA UBORA.

True kaka, hebu cheki wanavyosema hapa:

"The aim of this website is to provide an approximate popularity ranking of world Universities and Colleges based upon the popularity of their websites. This is intended to help international students and academic staff to understand how popular a specific University/College is in a foreign country.



We do not claim - by any means - to rank organisations or their programs, by the quality of education or level of services provided. The 4icu.org University Web Ranking is not an academic ranking and should not be adopted as the main criteria for selecting an higher education organization where to study".

Wakati tunaanza orientation miaka ya mwishoni ya 90 chuo chetu hiki kilikua cha 16 kwa ubora, kikizidiwa na vyuo vya S.A pekee
 
Hapo hakuna hata websites moja inayouzngumzia ubora wa chuo. Hiyo webmetric kama inavyojieleza inacheck how often hicho chuo kinatafutwa kwenye net. Sisi hatuna mtandao saana na matumizi yetu ni madogo, kwahiyo kwenye kipimo hicho hatuwezi kuwa juu.
Licha ya kwamba hicho kipimo si sahihi, chuo hakipimwi kwa wanafunzi peke yake. Tunaangalia machapisho (tafiti), employer wanasemaje (job prospects), students satisfaction, facilities, ratio ya walimu kwa wanafunzi etc ndio tunaasign points then tunapima huo ubora.
 
Hapo hakuna hata websites moja inayouzngumzia ubora wa chuo. Hiyo webmetric kama inavyojieleza inacheck how often hicho chuo kinatafutwa kwenye net. Sisi hatuna mtandao saana na matumizi yetu ni madogo, kwahiyo kwenye kipimo hicho hatuwezi kuwa juu.
Licha ya kwamba hicho kipimo si sahihi, chuo hakipimwi kwa wanafunzi peke yake. Tunaangalia machapisho (tafiti), employer wanasemaje (job prospects), students satisfaction, facilities, ratio ya walimu kwa wanafunzi etc ndio tunaasign points then tunapima huo ubora.

MKUU UNATUDANGANYA:

HEBU SOMA VIZURI (NA UELEWE) HAPA:
Ranking Web of World universities: Contact Us
 
MKUU UNATUDANGANYA:<br />
<br />
HEBU SOMA VIZURI (NA UELEWE) HAPA:<br />
<a href="http://www.webometrics.info/about_rank.html" target="_blank">Ranking Web of World universities: Contact Us</a>
<br />
<br />
It all depends na undertanding yako. Net accessed na hayo maelezo hayana tofauti isipokuwa aspect ya publications. Webmetric haitoi picha halisi. Hebu angalia vigezo vya the times etc. Wao hasa ni quality ya chuo with respect to web and abit of publications and student materials. Unless, we read one line after another
 
Miaka hii haisikiki Tena. Wamebaki Makerere na Nairobi
kwa mtindo huu, wacha ichakazwe

funny_invention.jpg
 
Back
Top Bottom