DoubleOSeven
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 661
- 143
.
Jamani,
Hapo ndipo mnapotuchanganya sasa.
Taarifa inasema amekamatwa akitaka kutoa rushwa.Sasa kelele zote hizo za nini?.Si kuna mahakama na atakwenda kujitetea huko?Ushabiki gani huu wa kutotumia akili.
... wewe ungekuwa unatumia zako yaloandikwa juu yasingekuchanganya. Mahakama ipi? Zile theatre kunakochezwa maigizo na WASANII waloshika dola? Changanya na zako!