kwani takukuru ndo nini? hivi ipo hiyo? hawa jamaa ni hatari tena wao ndo mafisadi namba 1 ndo wanaoongoza kwa kujilipa posho huku hamna kazi na tena siku hizi ndo wanamiliki magari ya kifahari sijui wanatoa wapi pesa. wao nao wanajiona kama usalama wa taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.