THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Kama mtu katafuna sadaka atajuana na waumini wake mwenyewe.kodi yetu sio ya kufuatilia visa vya matumizi yasadaka isiyotozwa kodi.Tafadhali PCCB tunataka mshughulikie ufisadi wa kodi zetu kama kwenye fuko la EPA ila kama mmeshaandika ripoti ya huyo askofu naomba mkawasomee waumini wake huko kanisani.