Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Kuna habari kuwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini TAKUKURU inafanya uchunguzi juu ya tuhuma za Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni mbunge wa jimbo wa Isimani mkoani Iringa William Lukuvi kuhusiana na tuhuma za kutoa msaada wa pikipiki 68 na baiskeli 68 katika jimbo hilo. Kitendo cha Lukuvi kutoa pikipiki na baiskeli hizo kimeonekana kama ni utoaji wa rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na raisi.....
My take: I doubt kama kweli Takukuru watakuja na kitu kipya katika suala hilo maana inapokuja wana-CCM kutuhumiwa zinapigwa chenga tu. Lakini mimi naona ni rushwa ya wazi tu hiyo kwa nini pikipiki na baiskeli leo na isiwe miaka ya nyuma??...Lukuvi huyo huyo anawataka Takukuru na polisi eti kumkamata afisa ardhi wa manispaa ya kinondoni kwa kuuza maeneo ya wazi.....:ballchain::ballchain:
My take: I doubt kama kweli Takukuru watakuja na kitu kipya katika suala hilo maana inapokuja wana-CCM kutuhumiwa zinapigwa chenga tu. Lakini mimi naona ni rushwa ya wazi tu hiyo kwa nini pikipiki na baiskeli leo na isiwe miaka ya nyuma??...Lukuvi huyo huyo anawataka Takukuru na polisi eti kumkamata afisa ardhi wa manispaa ya kinondoni kwa kuuza maeneo ya wazi.....:ballchain::ballchain: