Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Taarifa za jana usiku zinaeleza kwamba kuna watu wanaojiita maofisa wa Takukuru walikuwa wakipitia katika mabaa na kuwabughudhi wagombea wa CCM waliokua wakijipongeza kwa kunywa bia ama kula tena na watu ambao si wana CCM na watu wa kawaida, eti wanasema wananunulia watu bia ni sawa na rushwa... katika baa ya moja maarufu Dar, kukatokea zogo ambalo lilisababisha watu kuwazomea watu hao. Imebainika baadaye kwamba huenda watu hao ni MATAPELI na Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk. Edward Hose anatarajiwa kutoa taarifa rasmi leo......
Kwa ujumla Takukuru sasa katika baadhi ya maeneo wanatumika.
Kwa ujumla Takukuru sasa katika baadhi ya maeneo wanatumika.