Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Mh Ndasa Mbunge wa Sumve amewapiga dongo kali sana takukuru bungeni. Eti vinyago vya kwenye majaruba ndege waharibifu wanatua wanatest wakiona hakitikisiki wanajua ni kanyaboya wanaingia shambani kula huku kinyago kipo tu. Ha ha haa, Hosea upo hapo?