TAKUKURU leo kupasua jipu kwa waandishi wa habari

Politics in a sophiscated proffession, inayodeal na haki za watu na rasilimali za taifa, hopeless! sitaki hata kusikia kitakachoongelewa!
 
hivi unapokuwa muajiriwa wa TAKUKURU unajisikiaje kuwa na bosi kama hosea?
 
Dr.Hosea anategemewa leo kupasua jipu. Amesema maneno mengi yamesemwa kuhusu uchaguzi wa ccm kwamba ulitawaliwa kwa rushwa lakini hadi sasa hivi hamna aliye fikisha malalamiko takukuru. Sasa leo ameamua kupasua jipu. Hadi sasa haijafahamika ni jipu gani litapasuka leo. Ni hayo tu. mia

Hawa jamaa siku hizi hawanipi presha presha wanaposema wanaenda kuzungumza na waandishi wa habari.
Unaweza ukakuta akaongea mambo ya kawaida sana yanayojulikana na kila mtu
 
Wameshindwa kupasua upele jipu wataliweza, anyway tunasuburi waje kuwasafisha watuhumiwa wa rushwa lakini mwisho wa siku watakuwa wamewapaka tope bila kujua
 
Hii govt cjui ni dhaifu?anasema hakuna aliyeenda kushtaki takokuru kwani hao takokuru wamekaa na kusubiri mtu aseme?kaz yao nin hasa?
 
Hakuna jipya!...huyu jamaa sijawahi kumsikia akiongelea suala lolote kwa umakini. Anasubiri mabadiliko ya 2015 huyu
 
Hakuna cha jipu, kijipu uchungu, wala upele. Labda kama anataka kupasua chunusi, ingwa hata hiyo nayo nina mashaka kama ipo.
 
Kwani wao si wana ofisi na wataalam kila wilaya na hzo chaguzi zilifanyika kila mmoja akijua sasa wao ni kupelekewa taarifa au ni wao kutumia utaalam wao kufuatilia chanzo. Sasa wao si kupambana na kuzuia sasa kama wapo ofisini wakisubiri malalamiko si ni kwamba tukio limeisha utapata wapi ushahidi.
Kazi yao ni kuzuia kabla ya tukio na kupambana wakati wa tukio basi. Hii ya kusubiri malalamiko ni polisi na mahakama.
 
Wewe bwana Hosea,unapokea MSHAHARA wa bure tu,.mwisho wa huu wizi,ni hii katiba mpya,nafasi iwe ya kugombaniwa na hata kama Rais akimteua basi akathibishwe na Bunge,PCCB kiwe chombo huru na kila mwaka itolewe taarifa ya utendaji wa huyo Director na taasisi kwa UMMA!,,
 
Back
Top Bottom