TAKUKURU kuwasafisha akina-MKULLO?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
'Ziara' zangu ofisi za Serikali zinaelekea kubaya.Leo nilikuwa TAKUKURU ambapo mteja wangu mmoja anahojiwa akidaiwa kula rushwa ya shilingi laki tatu ili amwamishie mwanafunzi wake shuleni mwake.Nikawakuta maofisa wa TAKUKURU wametingwa na shughuli zao.Uchokonozi wangu ukaiponza.Nikamtwanga swali Afisa mmoja juu ya kuhojiwa na kupepelezwa kwa akina-MKULLO na TAKUKURU.

'Hao jamaa(Mkullo na wenzie) hawana tatizo lolote.Ni wasafi hadi tutakapopokea maelekezo mengine toka kwa wakuu wetu.Hadi sasa hatujaanza kuwapeleleza Waheshimiwa hao' alisema Afisa huyo. Wameanza taratibu za kuripoti kwao kila siku? nikamuuliza. 'Waripoti ili iweje? Wakuu hawajawapa amri hiyo.Mbona maswali yamekuwa mengi Wakili,unataka kuwatetea nini?' alisema akiniuliza swali la kichefuchefu Afisa huyo.

Nikatamani niingie Ofisi ya Mwalimu wangu(wakati ule pale UDSM),Dr.Edward Hossea,Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU hata nikapigane naye.Kiukweli,nikaogopa kesi.Hadi sasa,sijui nichukue hatua gani baada ya kukasirishwa na TAKUKURU...
 
PCCB hawana lolote hao kazi yao kubwa ni kuwahoji watoa rushwa ndogondogo kama vile ya driver daladala kumpa traffic police elfu mbili.......... kuna haja ya kuivunja na kuunda tume huru ya kupambana na kuzibithi rushwa. lakini pia sheria itoe muongozo kuhusu ipi rushwa ya TA--KUKU--RU na ipi TAKUKURU.
 
TA - Taasisi ya
KU - Kuboresha na
KU - Kustawisha
RU - Rushwa Tanzania.
 
Mkuu si unakumbuka yale ya Richmond? Takukuru ni sabuni ya kuwasafisha viongozi wanaokabiliwa na tuhuma za rushwa.
 
Hivi kwa mujibu wa profession ya sheria, si haitakiwi kutoa siri za mteja wako?
 
Hii ndio Bongo bana. Labda ungemchunguza vizuri huyo Afisa ungeweza kukuta huenda nae ni miongoni mwa wale Wanaoendelea kufichuliwa na NIDA ( Wakala wa Vitambulisho vya Uraia). Atakuwa nae anatumia jina la Marehemu kaka yake hapo.
 
Naona wamechelewa sana! Watanzania wengi walitarajia kuisiki hii TAKUKURU ikiwasafisha siku ile ile ya mjadala bungeni!
 
Nafikiri umefika wakati sasa watanzania tuamue kupitia bunge letu kuifuta Taasisi hii ambayo haina faida yoyote kwa Mtanzania zaidi ya kutuongezea gharama tu, tukiangalia tangu ilipoanzishwa rushwa imeendelea kuongezeka tu na imekuwa ndiyo kichaka cha wala rushwa wakubwa.
 
Huyo afisa wa takukuru atakuwa alikuona we kichwa maji! Sasa hayo ni maswali ya kumuuliza mchunguzi halafu akujibu kirahisi tu?
 
'Ziara' zangu ofisi za Serikali zinaelekea kubaya.Leo nilikuwa TAKUKURU ambapo mteja wangu mmoja anahojiwa akidaiwa kula rushwa ya shilingi laki tatu ili amwamishie mwanafunzi wake shuleni mwake.Nikawakuta maofisa wa TAKUKURU wametingwa na shughuli zao.Uchokonozi wangu ukaiponza.Nikamtwanga swali Afisa mmoja juu ya kuhojiwa na kupepelezwa kwa akina-MKULLO na TAKUKURU.

'Hao jamaa(Mkullo na wenzie) hawana tatizo lolote.Ni wasafi hadi tutakapopokea maelekezo mengine toka kwa wakuu wetu.Hadi sasa hatujaanza kuwapeleleza Waheshimiwa hao' alisema Afisa huyo. Wameanza taratibu za kuripoti kwao kila siku? nikamuuliza. 'Waripoti ili iweje? Wakuu hawajawapa amri hiyo.Mbona maswali yamekuwa mengi Wakili,unataka kuwatetea nini?' alisema akiniuliza swali la kichefuchefu Afisa huyo.

Nikatamani niingie Ofisi ya Mwalimu wangu(wakati ule pale UDSM),Dr.Edward Hossea,Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU hata nikapigane naye.Kiukweli,nikaogopa kesi.Hadi sasa,sijui nichukue hatua gani baada ya kukasirishwa na TAKUKURU...

Mkuu kumbe wewe mwanasheria!! Piganeni tupate private investigators and prosecutors. Hayo yote yataisha
 
alaahh kumbe TAKUKURU wao wanasubiri amri kutoka kwa wakuu wao?? nilifikiri wanachunguza kesi kutokana na ushahidi walionao....SI MCHEZO...IT CAN ONLY HAPPEN IN BONGO
 
Hivi wewe umesahau threads za Julian Assange na weakleaks yake kuhusu "Kideri" cha Takukuru ?!
 
'Ziara' zangu ofisi za Serikali zinaelekea kubaya.Leo nilikuwa TAKUKURU ambapo mteja wangu mmoja anahojiwa akidaiwa kula rushwa ya shilingi laki tatu ili amwamishie mwanafunzi wake shuleni mwake.Nikawakuta maofisa wa TAKUKURU wametingwa na shughuli zao.Uchokonozi wangu ukaiponza.Nikamtwanga swali Afisa mmoja juu ya kuhojiwa na kupepelezwa kwa akina-MKULLO na TAKUKURU.

'Hao jamaa(Mkullo na wenzie) hawana tatizo lolote.Ni wasafi hadi tutakapopokea maelekezo mengine toka kwa wakuu wetu.Hadi sasa hatujaanza kuwapeleleza Waheshimiwa hao' alisema Afisa huyo. Wameanza taratibu za kuripoti kwao kila siku? nikamuuliza. 'Waripoti ili iweje? Wakuu hawajawapa amri hiyo.Mbona maswali yamekuwa mengi Wakili,unataka kuwatetea nini?' alisema akiniuliza swali la kichefuchefu Afisa huyo.

Nikatamani niingie Ofisi ya Mwalimu wangu(wakati ule pale UDSM),Dr.Edward Hossea,Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU hata nikapigane naye.Kiukweli,nikaogopa kesi.Hadi sasa,sijui nichukue hatua gani baada ya kukasirishwa na TAKUKURU...
Hivi kuna mtu aliamini kuwa takukuru kweli inawachunguza akina Mkulo? Yangekuwa ni maajabu ya nane ya dunia
 
Back
Top Bottom