Take home 217000/-

Hakuna marupu2 kabisa ndugu.

Na umefanya kazi hapo kwa miaka mingapi ili walau tutazame labda ka-akiba ka NSSF,PSPF,PPF lakda katakusaidia.
Mh ila kwa mshahara wako huo...ni mchango kidogo saana hata hizo akiba haziwezi kukusaidia. Ni vema ukapokea mchango hapo juu wadau waliokushauri ya kwamba walau wife angeanza kwanza kufanya biashara na utazame maendeleo yake ili ama uongeze nguvu ama uipanue zaidi.
Kwa biashara ya duka...mh hapana!!
 
Basi mshahara wako ni zaidi ya 217,000/-

Take home hiyo unapaswa kutuambia unaishi mkoa, kijiji au sehemu gani ya nchi?. Pili kazi yako ni nini hasa?, tatu unachukua rushwa kwa mwezi kiasi gani?, nne utuambie shughuli binafsi unazotaka kufanya ni zipi na expected future cash flows ni ipi kutokana na hizo then utapata ushauri, Otherwise nikupe tu angalizo kuwa hela hiyo unayoiona ndogo kuna watanzania 95% ambao ni unemployed wanaitafuta kwa mwaka mzima hawapati. Ila suala si mshahara si ni wewe mwenyewe value yako ipi?. Kuna watu wapo serikalini wanalipwa chini yako lakini wanaendesha ma-VX kwa ajili ya kula rushwa na kudhulumu watanzania kwa Tamaa zao za kutaka kisicho wastahili. Kuanwatu wanalipwa take home ya TZS 30,000 kwa wahindi na ukiwauliza wanakwambia huu ni mwaka wao wa 28 katika kazi hizo.

Kama unaishi Dar basi mshahara huo hautoshi ila kama unaishi Kigoma wewe ni mfalme huko. Ila kabla ya kuacha kazi chukua likizo ya bila malipo uangalie shughuli zako zinaendaje then fanya maamuzi mwenyewe bila ya external pressure maana waweza kuja laumu mtu baadae. Hii mijadala ya DOWANS na mishahara ya wabunge hapa isikuchanganye
 
Na umefanya kazi hapo kwa miaka mingapi ili walau tutazame labda ka-akiba ka NSSF,PSPF,PPF lakda katakusaidia.
Mh ila kwa mshahara wako huo...ni mchango kidogo saana hata hizo akiba haziwezi kukusaidia. Ni vema ukapokea mchango hapo juu wadau waliokushauri ya kwamba walau wife angeanza kwanza kufanya biashara na utazame maendeleo yake ili ama uongeze nguvu ama uipanue zaidi.
Kwa biashara ya duka...mh hapana!!

Nimeanza kazi 2007
 
Take home hiyo unapaswa kutuambia unaishi mkoa, kijiji au sehemu gani ya nchi?. Pili kazi yako ni nini hasa?, tatu unachukua rushwa kwa mwezi kiasi gani?, nne utuambie shughuli binafsi unazotaka kufanya ni zipi na expected future cash flows ni ipi kutokana na hizo then utapata ushauri, Otherwise nikupe tu angalizo kuwa hela hiyo unayoiona ndogo kuna watanzania 95% ambao ni unemployed wanaitafuta kwa mwaka mzima hawapati. Ila suala si mshahara si ni wewe mwenyewe value yako ipi?. Kuna watu wapo serikalini wanalipwa chini yako lakini wanaendesha ma-VX kwa ajili ya kula rushwa na kudhulumu watanzania kwa Tamaa zao za kutaka kisicho wastahili. Kuanwatu wanalipwa take home ya TZS 30,000 kwa wahindi na ukiwauliza wanakwambia huu ni mwaka wao wa 28 katika kazi hizo.

Kama unaishi Dar basi mshahara huo hautoshi ila kama unaishi Kigoma wewe ni mfalme huko. Ila kabla ya kuacha kazi chukua likizo ya bila malipo uangalie shughuli zako zinaendaje then fanya maamuzi mwenyewe bila ya external pressure maana waweza kuja laumu mtu baadae. Hii mijadala ya DOWANS na mishahara ya wabunge hapa isikuchanganye

Naishi Singida, kazi idara ya Elimu, rushwa hakuna.
 
Na umefanya kazi hapo kwa miaka mingapi ili walau tutazame labda ka-akiba ka NSSF,PSPF,PPF lakda katakusaidia.
Mh ila kwa mshahara wako huo...ni mchango kidogo saana hata hizo akiba haziwezi kukusaidia. Ni vema ukapokea mchango hapo juu wadau waliokushauri ya kwamba walau wife angeanza kwanza kufanya biashara na utazame maendeleo yake ili ama uongeze nguvu ama uipanue zaidi.
Kwa biashara ya duka...mh hapana!!

Nimeanza kazi 2007
 
Hakuna uwezekano wa wewe kuendelea na shule?
Mimi naona kuwa AFISA ELIMU III haitoshi.
Pia kama unauwezo wa kukopa na kuwekeza sehemu ni vema. Ila sikushauri kuacha kazi hata kidogo. Itakuchukua muda kupata sehemu nyingine.
 
Kaka, usithubutu kuacha kazi. Kupitia ualimu unaweza kufanikisha maisha vizuri sana. Jipange na weka mipango vizuri. Kwa haraka haraka, unaweza kuchukua mkopo NMB mara 10 ya hyo take hom sawa 2,170,000/= na ukafungua biashara ya nguvu. Jaribu kuwekeza kwenye kilimo,ufugaji na hata ununuz wa mazao ya wakulima!

Pili, naskitika kwa nin mshahara hawajakupandsha Daraja, kwan wenzako wako TGTCS D sawa na laki nne! Pole lakn uskate tamaa.

Enterpreneur is manmade and inborn... Man made is resulted with problems facng individual hence become a millionaire...

Tatu, jipange uende kusoma. Kama six ilikaa vbaya,rudia mtihan. Uki-clear, tafuta chuo,badili profesion,soma sheria au acount! Huko mimi nilipga dip, nikakmbia. Nimelamba BA-AF, nalamba bata. Tena na washkaj wangu wapo vyuon wamekmbia wengne wanapga HRM,ENGNEERING,LAW NA kule Ardhi...
 
Kaka, usithubutu kuacha kazi. Kupitia ualimu unaweza kufanikisha maisha vizuri sana. Jipange na weka mipango vizuri. Kwa haraka haraka, unaweza kuchukua mkopo NMB mara 10 ya hyo take hom sawa 2,170,000/= na ukafungua biashara ya nguvu. Jaribu kuwekeza kwenye kilimo,ufugaji na hata ununuz wa mazao ya wakulima!

Pili, naskitika kwa nin mshahara hawajakupandsha Daraja, kwan wenzako wako TGTCS D sawa na laki nne! Pole lakn uskate tamaa.

Enterpreneur is manmade and inborn... Man made is resulted with problems facng individual hence become a millionaire...

Tatu, jipange uende kusoma. Kama six ilikaa vbaya,rudia mtihan. Uki-clear, tafuta chuo,badili profesion,soma sheria au acount! Huko mimi nilipga dip, nikakmbia. Nimelamba BA-AF, nalamba bata. Tena na washkaj wangu wapo vyuon wamekmbia wengne wanapga HRM,ENGNEERING,LAW NA kule Ardhi...

Poa kaka najipanga sasa, Six nilipiga III 14 Hist c, Eng d, Georg. F
 
Kaka, usithubutu kuacha kazi. Kupitia ualimu unaweza kufanikisha maisha vizuri sana. Jipange na weka mipango vizuri. Kwa haraka haraka, unaweza kuchukua mkopo NMB mara 10 ya hyo take hom sawa 2,170,000/= na ukafungua biashara ya nguvu. Jaribu kuwekeza kwenye kilimo,ufugaji na hata ununuz wa mazao ya wakulima!

Pili, naskitika kwa nin mshahara hawajakupandsha Daraja, kwan wenzako wako TGTCS D sawa na laki nne! Pole lakn uskate tamaa.

Enterpreneur is manmade and inborn... Man made is resulted with problems facng individual hence become a millionaire...

Tatu, jipange uende kusoma. Kama six ilikaa vbaya,rudia mtihan. Uki-clear, tafuta chuo,badili profesion,soma sheria au acount! Huko mimi nilipga dip, nikakmbia. Nimelamba BA-AF, nalamba bata. Tena na washkaj wangu wapo vyuon wamekmbia wengne wanapga HRM,ENGNEERING,LAW NA kule Ardhi...

Poa kaka najipanga sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom