Tajirika na Tikiti ungali bado kijana

Hapa bado kuna ishu ya risk kuoza matikiti ,kupasuka ,madalali kukushusha chini,tena maeneo ya Mbogwe changamoto kubwa ni fisi kushambulia matikit kwa hiyo utajiri ni shida tufanye tafit na sio kushawishi watu na kuwapa matazamio chanya na tuwe tayari tumeingia kwenye field husika
 
Watu wengi mnaongelea mambo ya risk mara inaweza kukupiga mara soko hakuna mambo meeeeeeeeengi
Ambayo yanaweza kumkagisha mtu tamaa
Dunia ya sasa tuko katika information age. Industrial age ilisha pita miaka mingi sana
Kitu anacho kiongelea salaniatz hizo ni fact na unaweza piga zaidi ya iyo 9Mil
Tatizo la sisi wabongo hatuna upeo wa kufikiria na kutafuga information katika kilakitu tunachokifanya issue sio kutengeneza over 9Mil kwa heka moja ishu ni unajuaje au unainformation na knowledge gani katika kutengeneza iyo pesa kwa Heka1 ya tikiti.

Mm sipuuzii kila taarifa inayo wekwa uku na niwajua watu walio tengeneza over 9Mil kwa heka moja ya tikiti tunalima tikiti inatoka hadi na kilo12

So ushauri wangu tafuteni information na knowledge ya kufanya vitu na sio kukurupuka.
 
Watu wengi mnaongelea mambo ya risk mara inaweza kukupiga mara soko hakuna mambo meeeeeeeeengi
Ambayo yanaweza kumkagisha mtu tamaa
Dunia ya sasa tuko katika information age. Industrial age ilisha pita miaka mingi sana
Kitu anacho kiongelea salaniatz hizo ni fact na unaweza piga zaidi ya iyo 9Mil
Tatizo la sisi wabongo hatuna upeo wa kufikiria na kutafuga information katika kilakitu tunachokifanya issue sio kutengeneza over 9Mil kwa heka moja ishu ni unajuaje au unainformation na knowledge gani katika kutengeneza iyo pesa kwa Heka1 ya tikiti.

Mm sipuuzii kila taarifa inayo wekwa uku na niwajua watu walio tengeneza over 9Mil kwa heka moja ya tikiti tunalima tikiti inatoka hadi na kilo12

So ushauri wangu tafuteni information na knowledge ya kufanya vitu na sio kukurupuka.
Huko sawa kabisa mkuu, cha msingi nadhani ni kutambua kuna mema na changamoto za kilimo cha tikiti. Na vile vile itambulike kuwa kuna walitajirika tena bado wana tajirika katika zao hili.

Tatizo kubwa ninaloliona mimi ni kwamba wale walifanikiwa ni wachache halafu wengi ya hawa wachache ni wachoyo wa kutoa taarifa ama kuamasisha jinsi walivyofikia hayo mafanikio, hii inasikitisha.

Kinachobaki sasa ni kuwa na watu wengi ambao hawajafanikiwa wanaokatisha watu tamaa.


Mimi ni binafsi tikiti nililima kama kujifunza katika eneo dogo sana.

Nilichojifunza
1. Tikiti linahitaji timing nzuri sana, ninapoongelea timing namaanisha kujua muda gani upande ili ukivuna uwe hujakutana na wauzaji wengi sokoni.

2. Tikiti linafaa kupandwa kwa kanuni za kisasa kupata matokeo bora. Hapa namaanisha kuchagua mbegu bora na kupanda kwa kuacha nafasi ya kutosha.

3. Madawa ni ya muhimu sana kupigwa kwa wakati.

4. Periodic inspication ya shamba ni muhimu sana sana.

Nina mpago mkakati ambao nilipewa na rafiki yangu hiko kwenye hard copy. Kwa anayetaka niko tayari kumpatia imeandikwa na mhadhiri wa chuo cha Sokoine.

Vijana tupende kusaidiana wakuu.
 
View attachment 398168
Mimi sio mkulima ila nimevutiwa na hii sijui ni kweli

~*Tajirika na Tikiti*~

Hii si Hamasa tena ni zaidi ya kweli.....

*TAJIRIKA UKIWA KIJANA ~ LIMA TIKITI*

Kwa wastani heka moja ya tikiti inakuwa na mashimo ya mbegu kuanzia 2000-3000 na kila shimo linaweza kuzalisha matunda 3-5 maana yake unaweza kupata matikiti 6,000-15,000 kwa heka.

Hii inamaanisha ukiuza tikiti moja kwa 1,500 unaweza kupata 9,000,000-22,500,000.

Basi tufanye uza tikiti moja sh 1,000 maanake utapata 6,000,000-15,000,000.

Kumbuka hii kitu ni ndani ya miezi 3.

Alafu kinachoumiza zaidi gharama ya uendeshaji ni chini ya 1,000,000 kwa heka moja.

*Ebu jamani tuache utani tujikite kwenye Kilimo maana Kilimo Kinalipa Sana.*

*Usiishie kusoma hizi namba kwenye maandishi ebu kafanye kwa vitendo ili utuletee majibu hapa.*
mahesabu haya ni ya kwenye makaratasi lakin uhalisia sivyo
 
View attachment 398168
Mimi sio mkulima ila nimevutiwa na hii sijui ni kweli

~*Tajirika na Tikiti*~

Hii si Hamasa tena ni zaidi ya kweli.....

*TAJIRIKA UKIWA KIJANA ~ LIMA TIKITI*

Kwa wastani heka moja ya tikiti inakuwa na mashimo ya mbegu kuanzia 2000-3000 na kila shimo linaweza kuzalisha matunda 3-5 maana yake unaweza kupata matikiti 6,000-15,000 kwa heka.

Hii inamaanisha ukiuza tikiti moja kwa 1,500 unaweza kupata 9,000,000-22,500,000.

Basi tufanye uza tikiti moja sh 1,000 maanake utapata 6,000,000-15,000,000.

Kumbuka hii kitu ni ndani ya miezi 3.

Alafu kinachoumiza zaidi gharama ya uendeshaji ni chini ya 1,000,000 kwa heka moja.

*Ebu jamani tuache utani tujikite kwenye Kilimo maana Kilimo Kinalipa Sana.*

*Usiishie kusoma hizi namba kwenye maandishi ebu kafanye kwa vitendo ili utuletee majibu hapa.*
Nakuelewa sana kiongozi
 
Mkuu mm nipo humo kwenye hicho kilimo...soko kwa sasa haliheleweki kila mtu kalima tikiti alafu hesabu hizo ni za mitandaoni ingia kwenye field utaona....usitie watu moyo alafu wakaingia kwa fujo mwishowe wakakata tamaa ya maisha

Very true true.... msije ingia kichwa kichwa mkalia, kusemaeti unatumia less than 1M per acre sio kweli kabisa..
 
Watu wengi humu wamekosoa mada, kuwa ina hesabu za makaratasi na kuna risks nyingi (okay sawa), sasa mbona mleta mada kadadavua kwa kina kile anachokijua, lakini nyie watanzania wengine mnajibu na vimistari viwili kukosoa na kutaja risks, kwa nini msifafanue kwa kina hizo risks?? Au kuweka mahesabu yenu ya kupunguza hizo hesabu za kwny makaratasi??

Wito kwenu watanzania walalamishi;

Jifunze kukosoa kwa hoja au maelezo ya kina, kwa kufanya hivyo tutaelimishana kwa mapana zaidi, usipende kukosoa au kunyyanyua mdomo wako kama huna maelezo ya kina au haupo tayari kufafanua kwa wenzako.

Nawakilisha!!
 
Huko sawa kabisa mkuu, cha msingi nadhani ni kutambua kuna mema na changamoto za kilimo cha tikiti. Na vile vile itambulike kuwa kuna walitajirika tena bado wana tajirika katika zao hili.

Tatizo kubwa ninaloliona mimi ni kwamba wale walifanikiwa ni wachache halafu wengi ya hawa wachache ni wachoyo wa kutoa taarifa ama kuamasisha jinsi walivyofikia hayo mafanikio, hii inasikitisha.

Kinachobaki sasa ni kuwa na watu wengi ambao hawajafanikiwa wanaokatisha watu tamaa

Mimi ni binafsi tikiti nililima kama kujifunza katika eneo dogo sana.

Nilichojifunza
1. Tikiti linahitaji timing nzuri sana, ninapoongelea timing namaanisha kujua muda gani upande ili ukivuna uwe hujakutana na wauzaji wengi sokoni.

2. Tikiti linafaa kupandwa kwa kanuni za kisasa kupata matokeo bora. Hapa namaanisha kuchagua mbegu bora na kupanda kwa kuacha nafasi ya kutosha.

3. Madawa ni ya muhimu sana kupigwa kwa wakati.

4. Periodic inspication ya shamba ni muhimu sana sana.

Nina mpago mkakati ambao nilipewa na rafiki yangu hiko kwenye hard copy. Kwa anayetaka niko tayari kumpatia imeandikwa na mhadhiri wa chuo cha Sokoine.

Vijana tupende kusaidiana wakuu.

Mkuu,naomba nami niipate. Nina mpango wa kulima ekari 4 kwa kuanzia. Niliko,hali ya soko ni zuri kiasi. Kwa vile umeonyesha moyo wa kusaidia ni jambo jema kuona ni jinsi gani tukupate
 
Hapa bado kuna ishu ya risk kuoza matikiti ,kupasuka ,madalali kukushusha chini,tena maeneo ya Mbogwe changamoto kubwa ni fisi kushambulia matikit kwa hiyo utajiri ni shida tufanye tafit na sio kushawishi watu na kuwapa matazamio chanya na tuwe tayari tumeingia kwenye field husika
Kilimo chetu cha mazao karibu aina zote,hakikosi changamoto. Na sio kilimo tu,hata biashara,kazi za ujira,nk. Jambo kubwa na la maana zaidi ni kujitahidi kuzijua changamoto zilizopo na kuzikabili kwa namna utakavyoona inafaa. Ukisoma historia ya Billgates namna alivyoanza ujasiriamali,na changamoto alizokutana nazo,na namna alivyopambana nazo hadi mafanikio,utapata jambo la kujifunza. Mfano risk ya matikiti kuoza au kupasuka mara kadha hutokana na uzembe ambao unaepukika
 
Nina rafiki yangu analilima tikiti. Gharama mpaka tikiti kwe ekari moja mpaka ziwe tayari zilifika zaidi ya milioni tatu na nusu. Hayo mahesabu ya milioni moja ni kuwavuta tu watu ila kiuhalisia ni gharama zaidi ya hio
 
Nina rafiki yangu analilima tikiti. Gharama mpaka tikiti kwe ekari moja mpaka ziwe tayari zilifika zaidi ya milioni tatu na nusu. Hayo mahesabu ya milioni moja ni kuwavuta tu watu ila kiuhalisia ni gharama zaidi ya hio
Mkuu mchanganuo wa matumizi ya hizo milioni tatu alizotumia alikuonyesha? Naomba muwasiliane akupe,utuwekee. Yawezekana tukajifunza jambo
 
View attachment 398168
Mimi sio mkulima ila nimevutiwa na hii sijui ni kweli

~*Tajirika na Tikiti*~

Hii si Hamasa tena ni zaidi ya kweli.....

*TAJIRIKA UKIWA KIJANA ~ LIMA TIKITI*

Kwa wastani heka moja ya tikiti inakuwa na mashimo ya mbegu kuanzia 2000-3000 na kila shimo linaweza kuzalisha matunda 3-5 maana yake unaweza kupata matikiti 6,000-15,000 kwa heka.

Hii inamaanisha ukiuza tikiti moja kwa 1,500 unaweza kupata 9,000,000-22,500,000.

Basi tufanye uza tikiti moja sh 1,000 maanake utapata 6,000,000-15,000,000.

Kumbuka hii kitu ni ndani ya miezi 3.

Alafu kinachoumiza zaidi gharama ya uendeshaji ni chini ya 1,000,000 kwa heka moja.

*Ebu jamani tuache utani tujikite kwenye Kilimo maana Kilimo Kinalipa Sana.*

*Usiishie kusoma hizi namba kwenye maandishi ebu kafanye kwa vitendo ili utuletee majibu hapa.*
Nina ekari2 zimekomaaa tayar lakni hakuna wateja kabisaaa.
 
View attachment 398168
Mimi sio mkulima ila nimevutiwa na hii sijui ni kweli

~*Tajirika na Tikiti*~

Hii si Hamasa tena ni zaidi ya kweli.....

*TAJIRIKA UKIWA KIJANA ~ LIMA TIKITI*

Kwa wastani heka moja ya tikiti inakuwa na mashimo ya mbegu kuanzia 2000-3000 na kila shimo linaweza kuzalisha matunda 3-5 maana yake unaweza kupata matikiti 6,000-15,000 kwa heka.

Hii inamaanisha ukiuza tikiti moja kwa 1,500 unaweza kupata 9,000,000-22,500,000.

Basi tufanye uza tikiti moja sh 1,000 maanake utapata 6,000,000-15,000,000.

Kumbuka hii kitu ni ndani ya miezi 3.

Alafu kinachoumiza zaidi gharama ya uendeshaji ni chini ya 1,000,000 kwa heka moja.

*Ebu jamani tuache utani tujikite kwenye Kilimo maana Kilimo Kinalipa Sana.*

*Usiishie kusoma hizi namba kwenye maandishi ebu kafanye kwa vitendo ili utuletee majibu hapa.*

Naunga mkono hoja. Pamoja na post hii kunivuta sana,imetoa mwanga,kuna mengi mazuri kilimo hiki kinayo wengi hawajajua.
Tikiti hizi sio kwa kuuza tu na kuliwa zilivyo. Zina uwezo wa kutengeneza juisi nzuri sana ambayo kwa maeneo ya joto kama Dar ni refreshment safi sana. Juice hii kwa tafiti mbalimbali zilizofanyika,ina uwezo mkubwa kuimarisha afya ya mnywaji. Ina madini mengi ya potassiumu,inapunguza matatizo ya moyo na figo na hupunguza uwezekano wa kupata kansa ya utumbo mpana na ngozi!
Ninakamilisha makala ya kiutafiti ambayo nitaiweka hapa jukwani karibuni kuhusu faida ya kilimo hiki,namna mbadala ya kupata fedha zaidi kupitia utengenezaji wa juice za aina mbalimbali (recipes) kwa kutumia tikiti maji. Mimi ni mdau. Stay tuned!
 
Mkuu,naomba nami niipate. Nina mpango wa kulima ekari 4 kwa kuanzia. Niliko,hali ya soko ni zuri kiasi. Kwa vile umeonyesha moyo wa kusaidia ni jambo jema kuona ni jinsi gani tukupate
Naomba unitafute nikupe utoe copy ina kama page 4. (0685669993)
 
Hapa bado kuna ishu ya risk kuoza matikiti ,kupasuka ,madalali kukushusha chini,tena maeneo ya Mbogwe changamoto kubwa ni fisi kushambulia matikit kwa hiyo utajiri ni shida tufanye tafit na sio kushawishi watu na kuwapa matazamio chanya na tuwe tayari tumeingia kwenye field husika
Mbona wewe unaongea negative tu za fisi wewe umefanya utafiti au unakatisha tu tamaa
 
Back
Top Bottom