St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,634
- 4,519
Kumbe kisosi ni kwa ajili ya wenye hitilafu kwa maumbile!? Nilitaka kushangaa,na umri wangu wote huu sijawahi skia ndo nije niskie hapa Jf
Nasikia kulekwao wanaita suna hiyo,na mwenye nayo
anakuwa na added advantage kwa jinsia pinzani..