Siri Sirini
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 547
- 198
Cjawahi kulala mchana,
cjawahi kukesha usiku
Nimewahi kuolewa
nimewahi kuzaa
cjawahi kukesha usiku
Nimewahi kuolewa
nimewahi kuzaa
Hahahahaha! Hukumtoa chongo? Manina zake! Piga hiyo makitu ipate adabu.masikini babu Asprin ungejua sababu, n-way ngoja tu nkwambie. kuna mdada alikuwa ananiletea nyodo, c nikamfunza adabu mpk leo heshima ipo. cpendi kuonewa. kiukweli ngumi ipo karibu ukicheza nakupa za uso. ndo sababu ya kuwekwa lock up!
Nisivyowahi1. sijawahi kuwa na demu muislam...wooote wakristo2. sijawahi kuvuka mipaka ya nchi3. sijawahi kula 0713 wala ThreeSome4. sijawahi kunywa biaNilivyowahi:-1 nimesafiri mikoa yote Tanzania2 nimewahi kukamata zaidi ya milioni in cash (i mean za kwangu)3 nimemiliki smart devices like iPhone,
Sababu?Nahisi ulikuwa ni Mkopo au za dili.
Sababu?
Afu njoo hapa Port View. Kuna mishenzi imezaliwa kwa ajili ya kutengeneza supu tu basi!
Madame B mshahara wangu wa kwanza pamoja substainance allowance, ikawa kama milioni na ushee ivi nilichekeleaje siku iyo
Port view ya hapa round about ya BP. Maeneo ya Relwe Gerezani bana.Port View ya wapi wewe?
Hebu nielekeze niwashe mkebe wangu nije fasta.
C unajua mambo ya Hang-Over ya jana pale Kwe2?
Nisivyowahi
1. I've never broken a bone
2. I've never been in relation of same sex
Nilivyowahi:-
1 I've climbed a mount Kilimanjaro
2 I've shot a gun
3 I've used an Apple product
4. I've been abroad
Nisivyowahi
1. I've never broken a bone
2. I've never been in relation of same sex
Nilivyowahi:-
1 I've climbed a mount Kilimanjaro
2 I've shot a gun
3 I've used an Apple product
4. I've been abroad
kumbe wewe lesbian...
tujaribu bac threesome... Bujibuji ataunga timu