Waja Leo waondoka Kesho,Tanga.
Hah ha ha ha ngoja nifanye mpango we niandalie mazingira tu na vitu vya ukweli nije nichane nyavu.
Nisivyowahi
1. I've never broken a bone
2. I've never been in relation of same sex
Nilivyowahi:-
1 I've climbed a mount Kilimanjaro
2 I've shot a gun
3 I've used an Apple product
4. I've been abroad
Kudadadeki,
Kudedi hakuna Breki.
Nilifika kileleni uhuru peak, sure tulipewa guide, na certificate nnayo.....3 day up 2 days down down siwezi sahau kabisa experience niliyopata mwaya
nshawahi kulala lock up, duh ctasahau maishani. n.b. sitaki swali juu ya hili
1.sijawahi kulala uchi.
2.sijawahi kuingia uwanja wa taifa.
3.sijawahi kuvaa nguo yenye chata lolote la chama cha siasa
1.nimewahi kuvuta bangi
2.nimewahi kulewa nikapoteza network
3.nimewahi kufikisha 180km/hr kwenye barabara ya kitanzania
4.nimewahi kukesha
5.nimewahi kutembea toka uwanja wa 77 hadi mbezi shamba,kisa nilikula nauli
nshawahi kulala lock up, duh ctasahau maishani. n.b. sitaki swali juu ya hili
Ndo ukome kutembea na waume za watu. Na ile tabia yako ya kuiba glasi za bar na shuka za gesht haushi zitakurudisha tena lupango usipojirekebisha