Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Katiba(sheria mama) ibadilishwe kwa kuhusisha/consult wadau wote.wananchi waulizwe maoni yao hata kama hawajui sheria kuna points wanaweza kuzitoa zikafanyiwa kazi na wataalamu.
Hii katiba imezeeka na kufanya mfumo mzima wa serikali kuwa umechoka.
Mfano kuna sheria kwamba polisi akiwaona mko kundi la watu watatu(3) na 'akihisi' mnataka kuvunja amani basi anaruhusiwa kutumia nguvu kuwatawanya,hii inazuia uhuru wa maandamano au mikusanyiko.
Tunataka katiba itakayorejesha mali za umma zilizo mikononi mwa ccm(viwanja).
Hii katiba imezeeka na kufanya mfumo mzima wa serikali kuwa umechoka.
Mfano kuna sheria kwamba polisi akiwaona mko kundi la watu watatu(3) na 'akihisi' mnataka kuvunja amani basi anaruhusiwa kutumia nguvu kuwatawanya,hii inazuia uhuru wa maandamano au mikusanyiko.
Tunataka katiba itakayorejesha mali za umma zilizo mikononi mwa ccm(viwanja).