Taja mapungufu ya Katiba

Pay as you earn na income tax,kifupi mshahara wao upo full haukatwi kitu
sasa PAYE si ndio hiyo income tax watumishi wanayokatwa? mbona hueleweki mjomba?

.. basi afadhali hawa wanatumia loophole ya informal earners kuliko licensed and registered business taycoons whom intentionally evade tax ..... uliowataja wanahitaji elimu kidogo tu na serikali kuwa makini
hell to the no!

afadhali registered business inayo evade tax hapa na pale lakini mwisho wa siku kuna kodi atalipa tu!

hawa wengine hawalipi period!

hawana bills za umeme tunazolipia VAT, hawana cha DAWASCO wanakunywa maji ya mitaro na vijito, hawalipi customs taxes sababu they never dream of ever importing anything, hawa own magari, nothing

consumptions zao ni informal, pombe haramu na vyakula vya Mama Ntilie ambavyo havilipiwi kodi.

bora kina Rostam wakwepe kodi lakini unajua kabisa li VODACOM lake haliwezi kukwepa kodi yote kabisa

wanaobeba zigo la kodi hapa ni wa formal sector ambao ni tiny minority, ndo mana kodi iko juu

NDO MAANA MWINGEREZA ALIWEKA KODI YA KICHWA, IRUDISHWE, hatutaki ujinga kabisa
 
hawa wengine hawalipi period!

hawa own magari,
nothing

consumptions zao ni informal, pombe haramu na vyakula vya Mama Ntilie ambavyo havilipiwi kodi.

bora kina Rostam wakwepe kodi lakini unajua kabisa li VODACOM lake haliwezi kukwepa kodi yote kabisa

wanaobeba zigo la kodi hapa ni wa formal sector ambao ni tiny minority, ndo mana kodi iko juu

NDO MAANA MWINGEREZA ALIWEKA KODI YA KICHWA, IRUDISHWE, hatutaki ujinga kabisa

mkuu nashukuru.....your comments tends to be maliciously and dubious ...... informal sector is an industry with great potential to the country GDP but nchi hii inayoongozwa na infidels haina utaratibu wa kuboresha hii sector ...... wenye magari tukiendelea kuwathamini ndio walipa kodi tu..... mimi nasema sio kweli.....mafuta hayana VAT mkuu...
 
Wana jf hebu tuanze kuijadili katiba iliyopo kama kweli tunaijua. Maana wengi wanasema tu katiba mpya wakati hata iliyopo hawajui. Katiba ya marekani imetungwa 1786 na zimefanyika amendment 26 tu ya mwisho ilikuwa 1992. Je katiba yetu inamapungufu yapi mpaka tuifanyie overwhole. Katiba ikibadishwa yote na sheria lazima zibadilike so sio jambo just over night. Let us see if we really know our katiba.

Members wamechangia lakini wanaongelea zaidi mambo ya kisiasa. Kuna issues za haki za binadamu ambazo zimekuwa sana katika miongo miwili iliyopita. Mfano right to health/ health care ni ya muhimu sana, katiba yetu inasema right to life, hii inamaana gani? tunataka iwe right to health/health care ili serikali ijicommit kwa resources zilizopo. Right to access of water, right to to good living environment ili kuzuia yale ya ule mgodi wa North Mara etc. Nimchakato mpana na sio vent kama watu wanavyodhani
 
Jamani mbona hamjaongelea mapungufu ya katiba katika elimu mmebase kwenye siasa tu?
Mi naona kuna mapungufu. Watz wanatumia muda mrefu kusoma. Cjui tunafata mtaala wa wapi.
Chekechea mwaka 1 au 2.
Primary miaka 7.
O level miaka 4.
A level miaka 2
degree miaka 3/4/5.
 
Jamani mbona hamjaongelea mapungufu ya katiba katika elimu mmebase kwenye siasa tu?
Mi naona kuna mapungufu. Watz wanatumia muda mrefu kusoma. Cjui tunafata mtaala wa wapi.
Chekechea mwaka 1 au 2.
Primary miaka 7.
O level miaka 4.
A level miaka 2
degree miaka 3/4/5.
Bado masters na phd.
Hadi umalize kupga kitabu umri wa kustaafu nao ushakaribia.
 
wakuu napendekeza tutotautishe vitu vifuatavyo kama kweli tunataka kuanisha mapungufu:
1) Katiba
2) Sera
3) Sheria
4) Kanuni (sheria ndogo zinazotengenezwa kutokana na sheria mama)

bila kuelewa vyema nini kimo katika mambo hayo manne basi tutashindwa kubainisha kasoro za katiba.. hapa naona baadhi ya wachangiaji wanasema vitu ambavyo vipo katika level ya sera, sheria na kanuni!!

fuata linki hii hapa upate nakala ya katiba uipitie then urudi hapa kuchangia www.tanzania.go.tz/images/katibamuungano.pdf

aidha nashauri tusome tena thread hii https://www.jamiiforums.com/katiba-...ania-ilivyo-na-mapendekezo-ya-mabadiliko.html
 
naomba kuquote post ya Kitila Mkumbo aliposema kuhusu mabadiliko katika katiba:

1) Sisi sote ni waathirika wa mfumo mbaya wa siasa zetu. Sasa basi tusiwaambie wapinzani tu wadai katiba. Ni jukumu letu sote. Nchi zote zilizofanikiwa kupata katiba nzuri za nchi zao haikudaiwa na wapinzani pekee. Mfano wa karibu kabisa ni wenzetu wa Kenya. Walioongoza na wanaoendelea kudai mabadiliko ya katiba Kenya ni Viongozi wa dini, Civil Society Orgnisations, Vijana, Vyuo Vikuu halafu ndo wanakuja vyama vya siasa. Tatizo letu ni pale tunapofikiri kuwa tatizo fulani si tatizo mpaka pale litakaponiathiri mimi. Lazima tubadilike. Kwa kawaida wanasiasa wa kiafrika hawaoni mbali zaidi ya madaraka. Tukiwaachia wapinzani kudai katiba peke yao hawatadai zaidi ya tume huru ya uchaguzi. Naamini tatizo la katiba ni kubwa kuliko tume huru ya uchaguzi. Vyama vya upinzani na wadu tu katika mchakato wa maendeleo ikiwemo siasa na katiba. Sote tunawajibika.

1) hakuna kipya ambacho hakijulikani tunachokitaka katika katiba. Tuongelee kuinishikiza serikali kupeleka mswada bungeni wa ku-adopt mapendekezo yaliyokwishatolewa huko nyuma. Tuna mapendekezo kutoka tume ya Nyalali, Shivji na Jaji Kisanga. Ripoti zote hizi zilianisha kwa kina matatizo ya katiba yetu na mapendekezo ya kufanyika. Huwezi kuniambia leo Mrema atakuja na mapendekezo tofauti na yale yaliyopo kwenye hizo tume zilizoongozwa na watu wenye vichwa vyao.

Narudia tena, matatizo ya kisiasa ikiwemo katiba katika nchi yetu hayawezi kuwa ya wapinzani peke yao. Ni ya kwetu wote nasi sote tunawajibika kuyatatua. Kuwataka kina JJ peke yao walete hoja ni kukwepa wajibu. Sam tupe maoni yako pia.
 
wakuu napendekeza tutotautishe vitu vifuatavyo kama kweli tunataka kuanisha mapungufu:
1) Katiba
2) Sera
3) Sheria
4) Kanuni (sheria ndogo zinazotengenezwa kutokana na sheria mama)

bila kuelewa vyema nini kimo katika mambo hayo manne basi tutashindwa kubainisha kasoro za katiba.. hapa naona baadhi ya wachangiaji wanasema vitu ambavyo vipo katika level ya sera, sheria na kanuni!!

fuata linki hii hapa upate nakala ya katiba uipitie then urudi hapa kuchangia www.tanzania.go.tz/images/katibamuungano.pdf

aidha nashauri tusome tena thread hii https://www.jamiiforums.com/katiba-...ania-ilivyo-na-mapendekezo-ya-mabadiliko.html

Sera zinaweza kuzaa Katiba vile vile kama CHADEMA walivyoweka kwenye Ilani ya Uchaguzi kwamba wataanzisha Katiba mpya, kwa hiyo ilikuwa ni sera yao! Pia ujue kwamba Katiba nayo ni sheria vile vile, tena ni Sheria mama! Kwa hiyo hakuna mambo yaliyochanganyika hapa, tupo kwenye right track!
 
1. Rais apunguziwe madaraka ili baadhi anaowateua wathibitidhwe na Bunge!
2. Tume ya Taifa ya Uchaguzi iwe huru, ie cmposition ya wajumbe wa tume ijumuishe pia wapinzani.
3. Tanzania sio tena nchi ya Ujamaa na Kujitegemea kwa kuwa njia kuu za uchumi zote haziko mikononi mwa Serikali. Kwahiyo Katiba ifanyiwe marekebisho kuondoa kipengele hicho!
4. Katiba ifanyiwe marekebisho iendane na Katiba ya Zanzibar, km kuondoa cheo cha uwaziri kiongozi!
5. Viti maalum vya ubunge na udiwani viondolewe, havina kazi yoyote.
6. Rais asiwe na mamlaka ya kuteua Wabunge, kwa kuwa hao wabunge hawawakilishi chochote.
7. Matokeo ya urais yawe challenged mahakamani, kwa hiyo kile kipengele kwamba Tume ikishatangaza matokeo basi hakuna mahakama yoyote yenye uwezo wa kuyachunguza kiondolewe!
8. Rais asiwe na uwezo wa kubadili Wizara mara kwa mara, idadi ya wizara ziwekwe kwenye Katiba na kama ataona kuna haja ya kuziongeza Bunge liridhie. Hii itapunguza Rais kubadili Wizara kila mara, kwa kutaka kuwapatia maswahiba wake vyeo! Pia Wizara ziwe chache ili kupunguza gharama za uendeshaji wa Serikali.
9. Wakuu wa Mikoa na Wilaya hawana kazi waondolewe na badala yake wabaki Wakurufenzi watendaji wa Majiji, Miji, Manispaa na Wilaya!
10. Muundo wa Muungano uwe wa Serikali tatu!
11. Kuwe na equal distribution ya resources badala ya kuconcetrate tu kujenga Dar es Salaam na baadhi ya mikoa. Kwa hiyo iwekwe mechanism kwenye Katiba, eg Swrikali za Majimbo zenye baadhi ya mamlaka juu ya resouces zilizopo maeneo yao.
13. Mgombea binafsi aruhusiwe Kikatiba!
14...

mkuu,
Zitaje kwa majina mkuu!
Serikali ya tanzania bara? au??? ya ile nchi yetu iliyopata uhuru 09.12?
 
Katika harakati ya kuweka sawa mtiririko mzuri wa michango wa wana Member.

by Buchanan

1.Rais apunguziwe madaraka ili baadhi anaowateua wathibitidhwe na Bunge!
2. Tume ya Taifa ya Uchaguzi iwe huru, ie cmposition ya wajumbe wa tume ijumuishe pia wapinzani.
3. Tanzania sio tena nchi ya Ujamaa na Kujitegemea kwa kuwa njia kuu za uchumi zote haziko mikononi mwa Serikali. Kwahiyo Katiba ifanyiwe marekebisho kuondoa kipengele hicho!
4. Katiba ifanyiwe marekebisho iendane na Katiba ya Zanzibar, km kuondoa cheo cha uwaziri kiongozi!
5. Viti maalum vya ubunge na udiwani viondolewe, havina kazi yoyote.
6. Rais asiwe na mamlaka ya kuteua Wabunge, kwa kuwa hao wabunge hawawakilishi chochote.
7. Matokeo ya urais yawe challenged mahakamani, kwa hiyo kile kipengele kwamba Tume ikishatangaza matokeo basi hakuna mahakama yoyote yenye uwezo wa kuyachunguza kiondolewe!
8. Rais asiwe na uwezo wa kubadili Wizara mara kwa mara, idadi ya wizara ziwekwe kwenye Katiba na kama ataona kuna haja ya kuziongeza Bunge liridhie. Hii itapunguza Rais kubadili Wizara kila mara, kwa kutaka kuwapatia maswahiba wake vyeo! Pia Wizara ziwe chache ili kupunguza gharama za uendeshaji wa Serikali.
9. Wakuu wa Mikoa na Wilaya hawana kazi waondolewe na badala yake wabaki Wakurufenzi watendaji wa Majiji, Miji, Manispaa na Wilaya!
10. Muundo wa Muungano uwe wa Serikali tatu!
11. Kuwe na equal distribution ya resources badala ya kuconcetrate tu kujenga Dar es Salaam na baadhi ya mikoa. Kwa hiyo iwekwe mechanism kwenye Katiba, eg Swrikali za Majimbo zenye baadhi ya mamlaka juu ya resouces zilizopo maeneo yao.
13. Mgombea binafsi aruhusiwe Kikatiba!
By Tasia I
14.Isiwe lazima kwa waziri kua mbunge.
15. Isiwe lazima kua waziri lazima atoke chama kinachokua madarakani manake hii inawanyima wanbunge wa upinzani fursa ya uwaziri hata kama wangekua wanauwezo wa kutoa huduma kwa ufanisi sana na kuwapa wale wa chama tawala hata kama hawana uwezo wakiutendaji. Ndo sababu tunasema wathibitishwe na bunge.
16. Katiba iweke mandate ya kuweza kuwa evaluate wabunge, wakuu wa mikoa na wilaya periodically.Sio jitu linakaatu madarakani miaka ishirini na halijafanya chochote na hakuna wakuliuliza.
17.Iweke wazi kikomo cha ubunge na ipaunguze muda wa ku staaf kisheria (62) ya sasa ni ming inasababisha ukosef wa ajira.

By Madcheda
18. Ikija kwenye suala la kulipa kodi wote tuwe sawa, sio kwamba kodi inalipwa na sisi watu wa chini (pangu pakavu) ila mawaziri, wabunge, makamu na rais mwenyewe hawalipi kodi yoyote ktk mapato yao ya mshahara na allowance. Me nazan sbb hawalipi kodi ndo maana wanatoa sana misamaha ya kodi kijinga jinga
By Lat
19. abolish death penalty.....
20. legalize marijuana

21. empowerment ya natives especially on natural resources..... iwekwe wazi na katiba kma sheria mama ya resources zetu na uwezeshwaji na siyo visheria vinavyotungwa tungwa tu na kina ngeleja na kubadilishwa pale kina barrick and anglo wakilalamika
22. sheria zinazounda state organs zibadilishwe na polisi isiwe jeshi bali iwe ni taasisi ya kutoa huduma za usalama na ulinzi wa raia... mfano badala ya kuwa Tanzania Police Force iwe Tanzania Police Service... South Africa wana SAPS na its one of the best policing organs in the world...policing does not mean using force... using force will be the last resort like ...if the pain persist see a medical doctor
My. Take
Itakuwa vizuri zaidi michango ikazingatia na kufanya nukuu ya kipengele husika cha katiba ili wachangiajia na wasomaji wengine kuelewa zaidi nini kinajadiliwa kuliko kuchanganya hoja mbalimbali.
 
Kinga dhidi ya mashtaka na madai kwa Rais. Ibara ya 46 (3). and I Quote "(3) Isipokuwa kama ataacha kushika madaraka ya Rais kutokana na masharti ya ibara ya 46A(10), itakuwa ni marufuku kumshtaki au kufungua mahakamani shauri lolote la jinai au la kumdai mtu aliyekuwa kuacha madaraka hayo kutokana na jambo lolote alilofanya yeye anashika madaraka ya Rais baada ya kama Rais wakati alipokuwa bado anashika kwa mujibu wa Katiba hii".
Hii kinga naona ina mapungufu makubwa sana. Inampa uwezo Rais kufanya chochote bila ya kushtakiwa. Ndio mwanzo wa madudu tunayoyaona nchini kwetu kwa sababu katiba inampa Rais kinga ya kutoshtakiwa.
 
Pay as you earn na income tax,kifupi mshahara wao upo full haukatwi kitu

Hakuna kitu kama hicho fedha ya mshahara wa mfanyakazi wa serikali na watu binafsi unaozidi 101,000.00 - 360,000.00 unakatwa 14%, 361,000.00 - 720,000.00 unakatwa 20% commulative. 720,000.00 na kuendelea 30% commulative. Hiyo ni Income Tax Act 2006. Sijaiona hiyo Exemption ya mawaziri kwenye ITA.
 
Mapungufu ni mengi sana na yanahitaji yafanyiwe kazi. Niliyoyaona na yanahitaji yafanyiwe kazi kwa haraka ni pamoja na

1.Uteuzi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri Ibara ya 55. Nanukuu "Rais aweza kuteua idadi yoyote ya Naibu Mawaziri ambao watawasaidia Mawaziri katika utekelezaji wa kazi na shughuli zao". Ndio mwanzo wa kuteuana kishkaji.
2.Wabunge wa kuteuliwa na Rais Ibara ya 66 (1(e)) Nanukuu "Wabunge wasiozidi kumi walioteuliwa na Rais kutoka miongoni mwa watu wenye sifa kwa mujibu wa ibara ya 67, isipokuwa sifa iliyotajwa katika ibara ya 67(1)(b)".
Hawana tija na haijulikani wanawawakilisha kina nani na kwa maslahi ya nani.
 
Katika harakati ya kuweka sawa mtiririko mzuri wa michango wa wana Member.

by Buchanan

1.Rais apunguziwe madaraka ili baadhi anaowateua wathibitidhwe na Bunge!
2. Tume ya Taifa ya Uchaguzi iwe huru, ie cmposition ya wajumbe wa tume ijumuishe pia wapinzani.
3. Tanzania sio tena nchi ya Ujamaa na Kujitegemea kwa kuwa njia kuu za uchumi zote haziko mikononi mwa Serikali. Kwahiyo Katiba ifanyiwe marekebisho kuondoa kipengele hicho!
4. Katiba ifanyiwe marekebisho iendane na Katiba ya Zanzibar, km kuondoa cheo cha uwaziri kiongozi!
5. Viti maalum vya ubunge na udiwani viondolewe, havina kazi yoyote.
6. Rais asiwe na mamlaka ya kuteua Wabunge, kwa kuwa hao wabunge hawawakilishi chochote.
7. Matokeo ya urais yawe challenged mahakamani, kwa hiyo kile kipengele kwamba Tume ikishatangaza matokeo basi hakuna mahakama yoyote yenye uwezo wa kuyachunguza kiondolewe!
8. Rais asiwe na uwezo wa kubadili Wizara mara kwa mara, idadi ya wizara ziwekwe kwenye Katiba na kama ataona kuna haja ya kuziongeza Bunge liridhie. Hii itapunguza Rais kubadili Wizara kila mara, kwa kutaka kuwapatia maswahiba wake vyeo! Pia Wizara ziwe chache ili kupunguza gharama za uendeshaji wa Serikali.
9. Wakuu wa Mikoa na Wilaya hawana kazi waondolewe na badala yake wabaki Wakurufenzi watendaji wa Majiji, Miji, Manispaa na Wilaya!
10. Muundo wa Muungano uwe wa Serikali tatu!
11. Kuwe na equal distribution ya resources badala ya kuconcetrate tu kujenga Dar es Salaam na baadhi ya mikoa. Kwa hiyo iwekwe mechanism kwenye Katiba, eg Swrikali za Majimbo zenye baadhi ya mamlaka juu ya resouces zilizopo maeneo yao.
13. Mgombea binafsi aruhusiwe Kikatiba!
By Tasia I
14.Isiwe lazima kwa waziri kua mbunge.
15. Isiwe lazima kua waziri lazima atoke chama kinachokua madarakani manake hii inawanyima wanbunge wa upinzani fursa ya uwaziri hata kama wangekua wanauwezo wa kutoa huduma kwa ufanisi sana na kuwapa wale wa chama tawala hata kama hawana uwezo wakiutendaji. Ndo sababu tunasema wathibitishwe na bunge.
16. Katiba iweke mandate ya kuweza kuwa evaluate wabunge, wakuu wa mikoa na wilaya periodically.Sio jitu linakaatu madarakani miaka ishirini na halijafanya chochote na hakuna wakuliuliza.
17.Iweke wazi kikomo cha ubunge na ipaunguze muda wa ku staaf kisheria (62) ya sasa ni ming inasababisha ukosef wa ajira.

By Madcheda
18. Ikija kwenye suala la kulipa kodi wote tuwe sawa, sio kwamba kodi inalipwa na sisi watu wa chini (pangu pakavu) ila mawaziri, wabunge, makamu na rais mwenyewe hawalipi kodi yoyote ktk mapato yao ya mshahara na allowance. Me nazan sbb hawalipi kodi ndo maana wanatoa sana misamaha ya kodi kijinga jinga
By Lat
19. abolish death penalty.....
20. legalize marijuana

21. empowerment ya natives especially on natural resources..... iwekwe wazi na katiba kma sheria mama ya resources zetu na uwezeshwaji na siyo visheria vinavyotungwa tungwa tu na kina ngeleja na kubadilishwa pale kina barrick and anglo wakilalamika
22. sheria zinazounda state organs zibadilishwe na polisi isiwe jeshi bali iwe ni taasisi ya kutoa huduma za usalama na ulinzi wa raia... mfano badala ya kuwa Tanzania Police Force iwe Tanzania Police Service... South Africa wana SAPS na its one of the best policing organs in the world...policing does not mean using force... using force will be the last resort like ...if the pain persist see a medical doctor
My. Take
Itakuwa vizuri zaidi michango ikazingatia na kufanya nukuu ya kipengele husika cha katiba ili wachangiajia na wasomaji wengine kuelewa zaidi nini kinajadiliwa kuliko kuchanganya hoja mbalimbali.

katiba itoe muda maalumu kwa Rais, kuunda baraza linaloundwa na wataalamu wasio wabunge as Executive arm baada ya kuapishwa. as for now anatumia busara zake tu.
 
.....your comments tends to be
your comments tend to be, OR your comment tends to be. Hakuna comments tends

tend to be maliciously and dubious
tend to be malicious OR to tend to be maliciously written. Hakuna tend to be maliciously

.....mafuta hayana VAT mkuu...
mafuta yanakuwa imported, yataachaje kuwa na kodi wewe?

Unailipa kodi ya mafuta juu kwa juu, sio lazima iwe imeandikwa lita 1400/= + tax 300/=
 
your comments tend to be, OR your comment tends to be. Hakuna comments tends

tend to be malicious OR to tend to be maliciously written. Hakuna tend to be maliciously

mafuta yanakuwa imported, yataachaje kuwa na kodi wewe?

Unailipa kodi ya mafuta juu kwa juu, sio lazima iwe imeandikwa lita 1400/= + tax 300/=

idiot preacher are all over and would rather preach ..... knowing the fact that all is understood and logically true,.... nashukuru umepata ujumbe husika.... juu kwa juu ndiyo kodi gani.... be honest with your staggered mind..... what are duties to be paid by importers.... customs duty plus VAT (18%) cumulative Value.... mafuta hayana VAT....usipotoshe bila vivid example
 
Serekali na chama kinachotawala vinafunction kama institution moja hii ni kutokana na katiba kutungwa enzi za cha chama kimoja...hili ni moja ya tatizo la katiba hii ya sasa....
 
Back
Top Bottom