Lenja
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 130
- 27
Suala siyo kufanyika tu, sema ukifanyika ukiwa huru na haki na utashi wa wapiga kura ukizingatiwa!!!!!
Ni kweli Gene, Uchaguzi huru utahitajika; Ila km bado, hawautaki Uchaguzi Huru, Vijana wanamnchi wanamapinduzi, wkisimamam kidete, tangu kura imepigwa mpaka karatasi la Matokeo, Majimbo mengi yatakombolewa. Mfn, Majimbo ya Mwanza(Ilemela na Nyamagana) ; Arusha(Arumeru) nk yalipatikana kwa staili hiyo. Baba akiwa mkorofi, usitegemee mtoto atakubali kila sku kupigwa km zezeta, he/she 'll respond to overcome the humiliation.................