sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
The Finest ndo nini aise kututisha
Unataka atuondoe kucha na meno kwa koleo
Ha ha ha..... Mr Rocky we muoga kumbe
Last edited by a moderator:
The Finest ndo nini aise kututisha
Unataka atuondoe kucha na meno kwa koleo
The Finest ndo nini aise kututisha
Unataka atuondoe kucha na meno kwa koleo
Tutawajadili wote kwenye vikao vya chamaNi memba wa jf?
Ha ha ha ha... chezeiya kung'olewa kucha na meno kwa koleo weweHa ha ha..... Mr Rocky we muoga kumbe
Ha ha ha ha... chezeiya kung'olewa kucha na meno kwa koleo wewe
Ha ha ha..... Mr Rocky we muoga kumbe
sweetlady tutakuwa na The Finest maana leo ameniambia ana ofa zangu za castle lite eti akanitambulishe kwa wachungaji wa kanisa lake jipyaHahahaha hapa utampata Mr Rocky tu manake ndie anaendaga baa usiku
The Finest usisahau ofa zangu za mbuzi katoliki na castle lite na unitambulishe kwa wale wachungaji wa kanisa lakoHa ha ha ha... chezeiya kung'olewa kucha na meno kwa koleo wewe
We sweetlady unachezea kung'olewa meno na kucha bila ganzi aise
hiyo ngumu kumeza
sweetlady tutakuwa na The Finest maana leo ameniambia ana ofa zangu za castle lite eti akanitambulishe kwa wachungaji wa kanisa lake jipya
Ila shangaa kikao hicho kinafanyika bar
The Finest usisahau ofa zangu za mbuzi katoliki na castle lite na unitambulishe kwa wale wachungaji wa kanisa lako
Hilo jina naliogopa kama nini maana siku hizi ukilitaja tu unalambwa ban
Ni nani kwani?
hivi mbona waliosoma MEMKWA sijawaona,au wanadhani watuwafahamu. ngoja niwataje hapa. Nicas Mtei we si ulisoma MEMKWA pale mapambano primary school, mbona umejikausha? Elizabeth Dominic we ulisoma MEMKWA Pale azimio primary?
hivi mbona waliosoma MEMKWA sijawaona,au wanadhani watuwafahamu. ngoja niwataje hapa. Nicas Mtei we si ulisoma MEMKWA pale mapambano primary school, mbona umejikausha? Elizabeth Dominic we ulisoma MEMKWA Pale azimio primary?
hahaha. charminglady umewah kusema. Mi nlitaka wote wajtambe ndpo nami niwaambie elimu yangu.
Mwenzangu mboni kujikausha yaani wengine humu elimu zetu utata mtupu..........we acha tu
Duh Bishanga mbona umebadili Elimu yangu ukaifanya yako?
Hapa niko nahangaikia PhE then niendelee na PhF coz PhD ninazo za kutosha.
Pia naifahamu elimu ya Mr Rocky yeye ana PhD ya Majungu, Preta na BADILI TABIA wana PhD za kuchukua wanaume wengi kwa mara moja, Filipo ni Std 4 alifeli mtihani wa kuingia la 5, Hata C6 pia ni Std 4 ila mkewe charminglady sijajua ana elimu gani
ulipata mimba ya udogoni wewe,shauri ya kiherehere ujue,kha!
nakuangalia tu hapa. Nimeku miss sana wangu.
Haya funguka Nicas Mtei...........na wewe Havard inahusika?