The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,385
- 12,970
Unajaribu kusema nini? Kwamba Kikwete anafaa kwa sababu kapanda ngazi kutoka chini?
Umeona nilivyoeleza mwanzo kwamba Tanzania uongozi si lazima uendane na uwezo?
Ikiwa Mwinyi mwenyewe aliyemteua Kikwete ni failure aliyejiuzulu, na akarudi tena kwenye system na kupanda ngazi mpaka urais (mtu alishajiuzulu kwa uzembe) unategemea nchi hii kupanda ngazi kuwe na maana ya kwamba kunatokana na utendaji mzuri?
Katika hili tusidanganyane.
Nimekupata kabisa. It was just a joke trying to explain how he managed to reach there. Najuwa wewe na mimi tuko upande mmoja.
hapa umemnyamazisha kijana!AMEELEWA SOMO HUYO
Sometimes you need to read between the lines siyo kukurupuka tu. Swala si ushabiki hapa bali ni mjadala. Kama unataka kuelewa misismamo ya watu fuatilia mada siyo one posting!!!