Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Baada ya Ng'wanangwa kupost uzi wenye kichwa cha habari: "Kikwete Mgeni rasmi? Taifa stars itarajie kichapo", baadhi ya watu walichukia na kuanza kushabikia kuwa Ng'wanangwa awe banned kwa hoja kwamba anaendekeza udini (lakini watu wenyewe walikuwa wanaficha hoja iliyokuwa mioyoni mwao).
Stars imekalia kichapo. Je, Mods muta-lift ban ya Ng'wanangwa???
Stars imekalia kichapo. Je, Mods muta-lift ban ya Ng'wanangwa???