Baba Mkubwa
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 793
- 58
Mpira umekwisha! 3-1 refa katubania sana kakataa goli 2 zetu ilikuwa tuwafunge 5 wamanga hawa!
Ebwana sasa naweza kupumzika maana hapatoshi. Anyway, binafsi nakupa big up sana maan umeweza kunisaidia mpaka nikafahamu nini kinaendelea huko home tena LIVE.
Thanks Masatu kwa kutuweka live japo tupo mbalia.