Hao sudan ni warabu tu sema wengi warabu weusi, so mbinu chafu ndio huwa ushindi wao
bila mbinu chafu hawana kitu, ila kwasababu tunaongoza naamini vijana kujiamini
kutaongezeka. Labda kamati zao za ufundi ziwachanganye Lol!
Komavu,
Usemayo ni sahihi kabisa jamaa wanambinu chafu na inaelekea refa anapelekeshwa na crowd lakini so far so good 1-1 half time tusubiri kipindi cha pili
Komavu,
Usemayo ni sahihi kabisa jamaa wanambinu chafu na inaelekea refa anapelekeshwa na crowd lakini so far so good 1-1 half time tusubiri kipindi cha pili
Hata wakitufunga, lazima tutasonga kwa kuwa kwenye three best losers. sdhani kama kuna best kama yetu so far! Tuna goli nne tayari. I believe tunasonga mbele
Hata wafanye mbinu chafu kiasi gani lazima tuwapige ama tutoke sare so far goli la ugenini linatupa nguvu mkuu
Second half is underway...
Ili watutoa watufunge 4-1 au zaidi ikiwa 3-1 kutakuwa na dk 30 za nyongeza then penatiMkuu Masatu,,kwani mpaka sasa Sudan wanahitaji kutufungam magoli mangapi ili waendelee??,maana mpaka sasa ni 4-2(aggregate)
Second half is underway...
Ili watutoa watufunge 4-1 au zaidi ikiwa 3-1 kutakuwa na dk 30 za nyongeza then penati
Kuna ngumi uwanjani oooh sasa vijana wanataka kumpa sababu refa awape kadi nyekundu lakini salama hakuna kadi.
Unajua jamaaa wanaprovoke sasa watoto wasipokuwa makini itakuwa noma
Dk 62 refa katubania penati Ngassa kaangushwa ndani ya box