Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
tatizo ni kocha,
Hana mfumo unao eleweka kachagua wachezaji yeye mwenyewe
anag'ang'ania wachezaji wa nje (soka la kulipwa)
Kocha mzuri utaona timu yake kipindi cha pili
lakini jana ameonyesha udhaifu mkubwa
Sisi waTz tunamchekea tu, watu wanaqualify na wanafukuza kocha......
tusiangalie matokeo tuangalie trend nzima, tunaelekea wapi?
Hana mfumo unao eleweka kachagua wachezaji yeye mwenyewe
anag'ang'ania wachezaji wa nje (soka la kulipwa)
Kocha mzuri utaona timu yake kipindi cha pili
lakini jana ameonyesha udhaifu mkubwa
Sisi waTz tunamchekea tu, watu wanaqualify na wanafukuza kocha......
tusiangalie matokeo tuangalie trend nzima, tunaelekea wapi?