Big thinkers naomba kuuliza swali! wakati mechi ya brazil na sisi ikiwa ndo imewiva kuna jamaa alikatiza uwanjani katikati na police wakawa wamemng'ang'ania! najiuliza hv! je wakati jamaa anazama ndani hao police walikuwa wp? na je! angekuwa na silaa kaka angepona? embu nisaidieni maana kwenye bilioni 3 moja kati ya sababu zilizotolewa ni usalama kuimarisha !!! ila pamoja na hayo yote namsifu yule jamaa kuingia uwanjani na jezz yake ya misri!!