John Okello
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 459
- 207
- Thread starter
- #21
haswa si sasa mikopo imekuwa ya kulenga na manati wakati aliahidi kutoa mikopo kwa wanafunzi wote.Mambo ya msingi lazima yaingizwe kwenye katiba kama elimu iwe lazima mtu kusoma.
CHADEMA kama kweli walikuwa wanataka Katiba Mpya wasingempokea mfadhili mkuu wa Katiba ya Sitta. Nani asiyejua bwana mkubwa alikuwa anataka kuwa raisi 'mwenye nguvu' na alikuwa anaamini hawezi 'kukatwa' kwa jinsi alivyokuwa amefanya harambee nchi nzima. Sasa kaeni na mgeni wenu.
imefadhiliwa serikali na katiba hii ni kwa maslahi mapana ya ccm