DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Naomba kujua kupitia Jukwaa hivi hapa tulipofika Je wa kulaumiwa ni Rais au ni System [mfumo] wetu. Manake hapa Taifa lilipofika system [A system is a way of working, organizing, or doing something which follows a fixed plan or set of rules.People sometimes refer to the government or administration of a country as the system.] kwa maana tajwa hapo juu au vinginevyo najiuliza Je system ndio chanzo cha Taifa letu kufika hapa lilipo au Rais ndiye chanzo cha Taifa kuwa hivi lilivyo?.
Binafsi ningepewa nafasi ya kujiuliza kama system yetu angekuwa ni mwanaume je ni mwanaume wa aina gani kulinganisha na mwanaume yeyote toka mataifa mengine kama Marekani au kwingineko tathimini yangu kama Mtanzania wa kawaida mwenye ufahamu wa mdogo wa kitanzania ingekuwa kama ifuatavyo.
Mwanaume huyu Mtanzania mwenye familia yani Mama na watoto [Watanzania] na Mwanaume Mmarekani na familia yake [Wamarekani]
Mwanaume huyu Mtanzania angekuwa ni msomi wa elimu ya ngazi ya chuo kikuu kwa maana ya graduate asiyependa swala lolote linalohusu ubunifu kwa familia yake anaeamini kwenye ubinafsi wa kuwa yeye ndiye mtu wa mwisho kwenye hatima ya mafanikio ya familia na kuwa mkewe na watoto wake hawajui lolote lile kuhusu maendeleo na mafanikio ya familia iko miokoni mwa mwanaume huyo anaeitwa Baba.Pamoja na Wanafamilia yani mama na watoto [Watanzania] kuwa na akili na ubunifu ambao kama ungepata support ya Baba ungeifikisha familia pazuri matokeo yake Baba ameukata ushirikianao huo na uwachukulia wanafamila wake hao hawana cha zaidi na kazi yao ni kutengewa chakula na mavazi hivyo wasihoji chochote kile na kwa lolote lile na hivyo kutengeneza piramid life style ya maisha ndani ya familia hiyo muhimu yenye kushindania uimara wake wa kuweza kuhimili kusimama imara na kustawi kama familia ya kimarekani.
Mwanaume huyu hayuko tayari kujua vipaji na uwezo wa mkewe, watoto wake,na hata vimada wake au mwanafamilia [Ndugu] yake yeyote yule anaemzunguka,ambae kwa namna yeyote ile aweza kuwa msaada kwa familia kwa siku zijazo na kuwa kwa kuunda ushirika huo na familia wanatayarisha maisha bora na ya uhakika ya baadae ya familia na vizazi vyao vijavyo.Mwanaume huyu uamini yeye ni yeye na kuwa amesoma na hakuna mwenye ufahamu wa ziada kuhusu familia au chochote kuhusu familia yake yani Tanzania.
Kwa ujuma mwanaume huyu ningemaliza kwa kusema ni mbinafsi, mwenye kuamini kwenye sifa ya ubabe,japo ni msomi alielimika lakini ni mpenda kukumbatia uzamani [Conservative-right wing] yani kiswahili ningesame umwinyi,aliebahatika kuachiwa urithi wa mali na Mungu akamjalia Mke mwema na Watoto [Watanzania] wenye akili sana japo azitumiwi, wasikivu, wapole, wavumilivu, wabunifu, wacheshi na wasiopenda fujo, ingawa ni wanaposhikwa koo wanakuwa wakolofi wasioweza kutabilika kwa matokeo yao.
Lakini kwa familia ya mwanaume mmarekani ni msomi,mjanja, mbunifu,mwenye kutafuta kwa ajili ya familia yake yaani mke na wanae [Wamarekani] kwa njia yoyote ile hata kwa kuvunja na kuiba yuko tayari ili mradi familia yake ipate mafanikio na maisha yao yawe bora.Japo yeye mwenyewe ni msomi mzuri na mjanja na kaenda shule kisawasasa baadhi ya watoto wake hawana ufahamu wowote zadi ya Baba yao kuwa mtundu wa kuhakikisha wanae na mkewe wanamaisha na uhakika bora kwa mbinu zozote zile zitakazo anzishwa na yeye binafsi na kisha kuja kuwarithisha wanae na watoto kwa faida ya vizazi vyao.
Naomba kujua kupitia wanajf ni Je ni kosa la Rais au ni kosa la system [mfumo] kwa hapa tulipofika kama Taifa ambalo Viongozi wana lalamika,wabunge,watawala ,wanataaaluma, wasomi, wanafunzi, raia, wafanyakazi, wakulima wote kwa umoja wanalalamika anaelalamikiwa ni nani Je ni Rais au ni System [Mfumo]?
Nawasilisha.
Binafsi ningepewa nafasi ya kujiuliza kama system yetu angekuwa ni mwanaume je ni mwanaume wa aina gani kulinganisha na mwanaume yeyote toka mataifa mengine kama Marekani au kwingineko tathimini yangu kama Mtanzania wa kawaida mwenye ufahamu wa mdogo wa kitanzania ingekuwa kama ifuatavyo.
Mwanaume huyu Mtanzania mwenye familia yani Mama na watoto [Watanzania] na Mwanaume Mmarekani na familia yake [Wamarekani]
Mwanaume huyu Mtanzania angekuwa ni msomi wa elimu ya ngazi ya chuo kikuu kwa maana ya graduate asiyependa swala lolote linalohusu ubunifu kwa familia yake anaeamini kwenye ubinafsi wa kuwa yeye ndiye mtu wa mwisho kwenye hatima ya mafanikio ya familia na kuwa mkewe na watoto wake hawajui lolote lile kuhusu maendeleo na mafanikio ya familia iko miokoni mwa mwanaume huyo anaeitwa Baba.Pamoja na Wanafamilia yani mama na watoto [Watanzania] kuwa na akili na ubunifu ambao kama ungepata support ya Baba ungeifikisha familia pazuri matokeo yake Baba ameukata ushirikianao huo na uwachukulia wanafamila wake hao hawana cha zaidi na kazi yao ni kutengewa chakula na mavazi hivyo wasihoji chochote kile na kwa lolote lile na hivyo kutengeneza piramid life style ya maisha ndani ya familia hiyo muhimu yenye kushindania uimara wake wa kuweza kuhimili kusimama imara na kustawi kama familia ya kimarekani.
Mwanaume huyu hayuko tayari kujua vipaji na uwezo wa mkewe, watoto wake,na hata vimada wake au mwanafamilia [Ndugu] yake yeyote yule anaemzunguka,ambae kwa namna yeyote ile aweza kuwa msaada kwa familia kwa siku zijazo na kuwa kwa kuunda ushirika huo na familia wanatayarisha maisha bora na ya uhakika ya baadae ya familia na vizazi vyao vijavyo.Mwanaume huyu uamini yeye ni yeye na kuwa amesoma na hakuna mwenye ufahamu wa ziada kuhusu familia au chochote kuhusu familia yake yani Tanzania.
Kwa ujuma mwanaume huyu ningemaliza kwa kusema ni mbinafsi, mwenye kuamini kwenye sifa ya ubabe,japo ni msomi alielimika lakini ni mpenda kukumbatia uzamani [Conservative-right wing] yani kiswahili ningesame umwinyi,aliebahatika kuachiwa urithi wa mali na Mungu akamjalia Mke mwema na Watoto [Watanzania] wenye akili sana japo azitumiwi, wasikivu, wapole, wavumilivu, wabunifu, wacheshi na wasiopenda fujo, ingawa ni wanaposhikwa koo wanakuwa wakolofi wasioweza kutabilika kwa matokeo yao.
Lakini kwa familia ya mwanaume mmarekani ni msomi,mjanja, mbunifu,mwenye kutafuta kwa ajili ya familia yake yaani mke na wanae [Wamarekani] kwa njia yoyote ile hata kwa kuvunja na kuiba yuko tayari ili mradi familia yake ipate mafanikio na maisha yao yawe bora.Japo yeye mwenyewe ni msomi mzuri na mjanja na kaenda shule kisawasasa baadhi ya watoto wake hawana ufahamu wowote zadi ya Baba yao kuwa mtundu wa kuhakikisha wanae na mkewe wanamaisha na uhakika bora kwa mbinu zozote zile zitakazo anzishwa na yeye binafsi na kisha kuja kuwarithisha wanae na watoto kwa faida ya vizazi vyao.
Naomba kujua kupitia wanajf ni Je ni kosa la Rais au ni kosa la system [mfumo] kwa hapa tulipofika kama Taifa ambalo Viongozi wana lalamika,wabunge,watawala ,wanataaaluma, wasomi, wanafunzi, raia, wafanyakazi, wakulima wote kwa umoja wanalalamika anaelalamikiwa ni nani Je ni Rais au ni System [Mfumo]?
Nawasilisha.