William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Facebook @ NEW YORK CITY: Imekuwa ni tabia inayokubalika sana miongoni mwetu wananchi, na hasa wana CCM kwa Viongozi watarajiwa kunyamaza kimyaa, mpaka ikishafikia wakati wa uchaguzi ndio utaona wanaanza tokeza na kusema maneno machache sana kwenye public tena kwa ujanja sana ili kujaribu ku-minimize the damage ya where they stand on the ishus important to the people, waonekane wako kwenye mstari flani ambao unaaminkai sana kwamba unakubalika na Chama, regardless ya kukubalika na wananchi, matokeo yamekua viongozi na cham kukosa elimu ya kero za wananchi.
- Tunasema hivi kwa wale wote Viongozi watarajiwa kwenye chama chetu CCM, ni vyema wakaanza kujitokeza sasa tukawajua wanasimamia wapi na ishus muhimu sana kwa taifa, zile tabia za kumchagua kiongozi tusiyejua anaposimama na ishus zimeanza kupitwa na wakati, wana-CCM tuwakatae kabisa viongozi wa namna hiyo, maana ni nothing but wanafiki, wanaotaka kujiweka sawa na upepo wa bendera kufuatana na siasa za wakati. Wanaotaka kutuongoza mbele ya safari tuanze kuwajua sasa wapo wapi na Mafisadi, Elimu, EPA, IPTL, KAGODA, DOWANS, Mgawo wa Umeme, Madini, Ulipaji wa kodi, Muungano, Udini, Ukabila, I mean na mengineyo tuwajue sasa wanasimamia wapi?
- I mean matokeo ya hii tabia, hili taifa tumekua na viongozi ambao wanakuwa kama wanatokea Mars Planet, wananchi tunaongea lugha tofauti na wao, ndio maana mmoja wao alisema tutakula hata majani lakini ndege itanunuliwa, juzi tumesikia Mkurugenzi wa ATC aki-retire baada ya kuongoza shirika la ndege ambalo halina ndege hata moja anyways! Leo Tanzania tuna Radar ambayo hata walioitengeneza wamesema waliitengeza kwa sababu ya nchi kama Israel sio sisi, haya yote yamewezekana kwa sababu hili taifa tumejaza maviongozi wengi magoi goi, ambao hatukuwahi kuwasikia wakitoa maoni yao on anything kuhusu ishus muhimu kwa taifa kabla hawajawa viongozi, and then wakianza kutoa utumbo wao hadharani baada ya kuwa viongozi tunashangaa, walitokea wapi?
Tunasema hivi wale wote mnaotaka kutuongoza mbele ya safari, tafadhalini sana jitokezeni sasa tuwajue misimamo yenu kuhusu ishus muhimu za taifa, na hasa kero za wananchi kwa sasa, sio kujificha ficha na baadaye kuja kutufikisha pabaya, we have enough tayari! Tunawakumbusheni tu kwamba wote tunawamulika sana kwenye hii mitandao na nje pia, kuona consistency ya misimamo yenu, kumbukeni kwamba huko tunakokwenda ni mitandao ndiyo itaaamua nani awe kiongozi wetu na nani asiwe!, sasa jitokezeni tuwajue misimamo yenu sasa!
William Malecela @ New York City, USA.
- Tunasema hivi kwa wale wote Viongozi watarajiwa kwenye chama chetu CCM, ni vyema wakaanza kujitokeza sasa tukawajua wanasimamia wapi na ishus muhimu sana kwa taifa, zile tabia za kumchagua kiongozi tusiyejua anaposimama na ishus zimeanza kupitwa na wakati, wana-CCM tuwakatae kabisa viongozi wa namna hiyo, maana ni nothing but wanafiki, wanaotaka kujiweka sawa na upepo wa bendera kufuatana na siasa za wakati. Wanaotaka kutuongoza mbele ya safari tuanze kuwajua sasa wapo wapi na Mafisadi, Elimu, EPA, IPTL, KAGODA, DOWANS, Mgawo wa Umeme, Madini, Ulipaji wa kodi, Muungano, Udini, Ukabila, I mean na mengineyo tuwajue sasa wanasimamia wapi?
- I mean matokeo ya hii tabia, hili taifa tumekua na viongozi ambao wanakuwa kama wanatokea Mars Planet, wananchi tunaongea lugha tofauti na wao, ndio maana mmoja wao alisema tutakula hata majani lakini ndege itanunuliwa, juzi tumesikia Mkurugenzi wa ATC aki-retire baada ya kuongoza shirika la ndege ambalo halina ndege hata moja anyways! Leo Tanzania tuna Radar ambayo hata walioitengeneza wamesema waliitengeza kwa sababu ya nchi kama Israel sio sisi, haya yote yamewezekana kwa sababu hili taifa tumejaza maviongozi wengi magoi goi, ambao hatukuwahi kuwasikia wakitoa maoni yao on anything kuhusu ishus muhimu kwa taifa kabla hawajawa viongozi, and then wakianza kutoa utumbo wao hadharani baada ya kuwa viongozi tunashangaa, walitokea wapi?
Tunasema hivi wale wote mnaotaka kutuongoza mbele ya safari, tafadhalini sana jitokezeni sasa tuwajue misimamo yenu kuhusu ishus muhimu za taifa, na hasa kero za wananchi kwa sasa, sio kujificha ficha na baadaye kuja kutufikisha pabaya, we have enough tayari! Tunawakumbusheni tu kwamba wote tunawamulika sana kwenye hii mitandao na nje pia, kuona consistency ya misimamo yenu, kumbukeni kwamba huko tunakokwenda ni mitandao ndiyo itaaamua nani awe kiongozi wetu na nani asiwe!, sasa jitokezeni tuwajue misimamo yenu sasa!
William Malecela @ New York City, USA.