Taifa katika hatihati ya kurudi gizani!

Apollos

New Member
May 4, 2012
2
2
Itv wameripoti hali mbaya ya kina cha maji mtera wakati na mvua ndo izo zinakatika bwawa halijajaa. Maskini wabongo tutaendelea kuhofia umeme wa maji mpaka lini.
Taarifa ndani ya serikali zinasema.

1. Tanesco inaelekilea kufikisika

2. Mabwawa ya kuzalishia umeme karibu yaishiwe maji

3. Hakuna fedha za kununulia mafuta ya kuendeshea mitambo ya kuzalisha maji

4. Makampuni ya mafuta yanameza karibu kiasi chore kinachokusanywa.

5. Presha au mkandamizo unaotoka Songosongo ni ndogo mno.

Tayari mgao wa uneme umeanza katika mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Morogoro, Mwanza, Mbeya na Shinyanga.

Tanesco power blues: Who is fooling who?

By Editor

21st July 2012

Last Sunday, our sister newspaper, The Guardian on Sunday published a well-detailed front-page story outlining reasons why the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) couldn't get a Sh408 billion loan from a consortium of local banks. And this apparent failure to raise the money is coming almost a year since Parliament endorsed the loan to finance a comprehensive power rescue package.

Let's be clear about this at the outset: the banks aren't saying they are unwilling to lend the state power utility; rather, it's the usual yarn that some bureaucrats love to spin within the government, especially those at Treasury, who we believe are creating a façade to mask their own lack of resolve to act on the deal.

It's just as clear that the loan was part of a Sh523 billion power rescue package which the august House endorsed on August 13, 2011, specifically aimed at resolving a running, if erratic, power shedding ravaging the country's economy at the time.

In other words, the loan was meant to prevent a bad situation from getting worse; in crude terms, it was an emergency calling for immediate action. As it turns out, an emergency is indeed an emergency – as long as we do not mind how long it takes! It has since taken nine long months of negotiations, and there is yet no clue of a breakthrough in sight. Who is fooling who, if we may ask?

Incredibly, as some of these mandarins at Treasury hold back progress on this deal for nine whole months, no one seems to getting the danger blips on the radar, at least not from the country's top leadership, from whom the public expects to see some serious intervention.

Do we have to wait for another angry rejection of budgets by Parliament before those tasked with okaying the deal are goaded into action? For sure, the Members of Parliament who endorsed it nine months ago aren't running on short memory; they as everyone else can no longer wait to be told the truth: will the loan be secured – finally?.

We acknowledge the role that Tanesco and its parent ministry (Energy and Minerals) are playing, and have played, with regard to the loan, but red tape remains the main barrier, fuelled mainly by lack of seriousness on the part of Treasury officials.

This country paid dearly through those 18 months of erratic power shutdowns, from which Tanesco suffered financial losses amounting to Sh420 billion in forgone revenue even as the country's economy was almost brought to its knees. Some 50 companies either closed down, or were being forced to reduce their production by 50 percent.

We are told that every single unit of electricity which is not produced and supplied costs the economy Sh1,749 ($1.10), but those costs are reduced to a fraction (Sh300) when power is available and running.

Having gone through the agony of the endless load shedding schedules one wouldn't expect some junior officials at Treasury to use their positions to delay Tanesco's loan. If it takes government officials nine whole months of endless meetings just to discuss a Sh408 billion loan at a time when the nation is in a power crisis, then we are in more trouble as a country than we realize.

An eminent expert on bureaucracy, Alan Keyes, once wrote, "Bureaucracies are inherently antidemocratic. Bureaucrats derive their power from their position in the structure, not from their relations with the people they are supposed to serve. The people are not masters of the bureaucracy, but its clients."

This observation is borne out by the fact that today Tanesco and Tanzanians are not the masters of bureaucrats at Treasury; both the utility firm and the people are clients of a system that behaves as if they do not exist.

While Tanesco faces dire financial doldrums – soon to pull everyone of us into another cycle of crude blackouts -- some of those at Treasury are drawing lots of money in sitting allowances for endless non-productive meetings. As if this isn't enough insult, they are taking us for a ride, too.

Ironically, if things were to worsen – and another power shedding regime resumes – it will be Tanesco, not the Treasury officials, who will suffer the butt of political whipping by politicians out to make capital out everyone's misery.

We, therefore, strongly believe that this is not just bureaucratic ineptitude but economic sabotage at work. Those bureaucrats at Treasury are economic saboteurs whose acts will cost this country very dearly.
That's why today we ask: just how serious is the government in helping Tanesco produce and distribute not only reliable but affordable power for the country?

The loan apart, this government also promised to dole out Sh80 billion as subsidy before this July (read this year). But as we go to print this editorial, not a single pledge had been translated into shillings for the troubled state power utility.


SOURCE:
THE GUARDIAN
 
Itv wameripoti hali mbaya ya kina cha maji mtera wakati na mvua ndo izo zinakatika bwawa halijajaa. Maskini wabongo tutaendelea kuhofia umeme wa maji mpaka lini.

Tutaendelea kucharazwa na bakora ya mgao wa umeme mpaka Serikali itakaposhika adabu, na kutenganisha Siasa na masuala ya Uchumi! Ukuaji wa Uchumi unaambatana na uwekezaji katika sekta ya Nishati na miundo mbinu, na wala si vinginevyo! Tunawekeza kifisadi, kwa masilahi ya wlio na uwezo na walio madarakani! Tuko tayari kukodi mitambo kwa gharama za mabilioni kuliko kuzitumia kujengea mitambo mipya! Kwa ufupi Serikali haitaki kulimaliza tatizo la Umeme. Ni kitega uchumi Mujaarab kwa waheshimiwa!
 
Itv wameripoti hali mbaya ya kina cha maji mtera wakati na mvua ndo izo zinakatika bwawa halijajaa. Maskini wabongo tutaendelea kuhofia umeme wa maji mpaka lini.

Msihofu, prof. muhungo has the solutions.
 
Ni vema na inapendeza biashara yeyote ndani ya Nchi ikafanywa na wazalendo.
Tatizo letu watz tunapenda kuvuna tusipopanda.Ndio maana tukiwekeza kiujanjaujanja tu.Utakuta kampuni inaitwa ya mtu fulani na haina wana hisa wala mtaji (kimaandishi ina hisa na mtaji na uwezo na ni ya watu wengi).
Lingine,ni ile tabia ya watz kuwacheka viongozi wazalendo wasiojilimbikizia mali pindi wanapoachia madaraka na kuishi maisha ya kawaida.
Utakuta watz wanamshangaa aliyekuwa waziri kwa kutokuwa na usafiri wa uhakika.Hali hii hufanya viongozi wengi kutumia vibaya madaraka yao ili wasijechekwa badaye.


KWA PAMOJA TUJIREKEBISHE KWA KUBADILISHA MITAZAMO YETU.
 
Hari inazidi kuwa mbaya kwa shirika la umeme Tanzania TANESCO hasa katika swala la miundo mbinu chakavu na linahitaji sh. Tril 1.2 ili lifanye ukarabati wa miundombinu yake la sivyo gizani kama kawa.

Na mkurugenzi wa Tanesco kadai ukarabati huo unaweza kuchukua zaidi ya miaka miwili.

My Take

Si safari za Jk mbili hadi tatu si ni sawa na gharama hizi za kukarabati miundombinu ya Tanesco?
Kupanga ni kuchagua kama tunachagua safari badala ya maendeleo sijui

 
TANESCO nayo sasa inaanza kuwa janga la Kitaifa. Kila kukicha haina hela za uendeshaji na kila kukicha inapandisha bei za umeme. Hii ni nini sasa? Mwaka juzi wamepata syndicated loan nasikia tena wako kwenye negotiation ya loan nyingine bado wanahitaji Trillion 1.2!

Nadhani TANESCO inahitaji restructuring ya hali ya juu sana. Kwanza ifanyiwe due diligence na wataalam wa fedha ili kuangalia wanadai/daiwa kiasi gani, mitambo yao ikoje na hizo njia za kusafirisha umeme zikoje na zinahitaji nini. Kisha igawanywe kuwe na kampuni ya kuzalisha na ya kusambaza umeme.

Haiwezi ikawa kila siku ni kilio cha pesa na vitisho vya kuingizwa gizani. Sipendi ile hali ya kuingia gizani ijirudie.
 
Hivi mmeshasahau kuwa mwaka huu wa budget 2011/2012 walipewa kiasi hicho cha fedha (trillion 1.2) na wakaahidi mgao wa umeme utakuwa historia!
 
TANESCO nayo sasa inaanza kuwa janga la Kitaifa. Kila kukicha haina hela za uendeshaji na kila kukicha inapandisha bei za umeme. Hii ni nini sasa? Mwaka juzi wamepata syndicated loan nasikia tena wako kwenye negotiation ya loan nyingine bado wanahitaji Trillion 1.2!

Nadhani TANESCO inahitaji restructuring ya hali ya juu sana. Kwanza ifanyiwe due diligence na wataalam wa fedha ili kuangalia wanadai/daiwa kiasi gani, mitambo yao ikoje na hizo njia za kusafirisha umeme zikoje na zinahitaji nini. Kisha igawanywe kuwe na kampuni ya kuzalisha na ya kusambaza umeme.

Haiwezi ikawa kila siku ni kilio cha pesa na vitisho vya kuingizwa gizani. Sipendi ile hali ya kuingia gizani ijirudie.

Inaongozwa na watu wasio na weledi wa namna ya kuendesha shirika kama lile...bahati mbaya inaanzia juu kabisa, bodi yao na hatimaye kwenye uongozi wa Tanesco.
 
Hali hii ya Tanesco imesababishwa na Mkapa kupitia sera ya uza uza na menejimenti za kukodi Net Group Confusion. TTCL imenusurika kidogo tu, kama hatutakaza misuli nayo itakwenda harijojo.
 
Kimbunga, mbona hata sasa Tanesco imeshaanza kuwa kampuni ya kusambaza umeme? Songas, Symbion/Dowans wanazalisha na Tanesco wanasambaza na miaka michache ijayo Artumas na Brazil (Stigler gorge) watazalisha na Tanesco watafanya uwakala.
Siamini kama Tanesco ikigawanywa na kuwa kampuni ya kusambaza itasaidia vinginevyo serikali (mdaiwa mkubwa na sugu) wawe walipaji na Zanzibar walipe bei halisi.
 
kama vip JK haaghailishe hiyo safari yake aliyoalikwa Marekani na Obama kwa ajili ya hiyo G8 meeting, badala yake hawape hao "good 4 nothing" tanesco!!!!
 
UUUUUUUUUUUUUUUUUwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii twaaaaaaaaaaaaaaafwa. Jamani PPF tuliwakopesha BILIONI 15, zitalipwa kweli hizi pesa za wanachama maskini? PPF tuanze mchakato wa kufutilia mbali hii hasara.
 
Tatizo hapa serikali haiwezeshi tanesco kuwa na mipango ya muda mrefu, mara kwa mara serikali imekuwa ikiwekeza kwa mipango ya dharula na kusherehekea ushindi kumbe miundombinu inazidi kuoza, mabwawa yanajaa tope, vyanzo vya maji vinaharibika na kukaushwa haya yote ni mambo yanayohitaji uwekezaji wa muda mrefu na kuacha blaa blaa.

Kikubwa zaidi ni kwamba niaibu kwa hali yasasa kutegemea maji ya mabwa yanayojaa tope wakati tuna falls za asili, tuna gas ya kutosha mahitaji ya ndani na kuuza nje pia, tuna upepo wa mwingi singida na makambako, kuna uwezekano wa kuzalisha umeme kwa kutumia joto ardhi wakala wa umeme vijijini REA ana raslimali jua isiyoisha, tuna bio energy mashamba ya katani yanaweza zalisha umeme kwa matumizi yao na biashara, mashamba ya mifugo yaweza toa bio energy, vyoo vyaweza toa umeme.

Kwanini maji? Kwanini mtera? Kwanini kihansi, kwanini nyumba ya mungu? Kwanini lakini?

We are not serious nahii yote ni kwa ajili ya kulea wachumia tumbo na sera zao zilizoshindwa, let us awake and fight for true freedom & development of our nation.
 
Source Mwanahalisi

Taarifa na barua aliyo andikiwa rais Jk na mwenyekiti wa bodi wa Tanesco Jen. P. Mboma kuwa hali na mstakabali wa shirika hilo kuwa na uhakika wa kuzalisha umeme kulingana na mahitaji yako mashakani na mgao wa umeme hautaepukikwa kama hali ya mambi hayatarekebishwa mapema.

Miundombinu ileile wakati mahitaji yanaongezeka kila siku. " tunafanya mambo yale yale tukitarajia majibu tofauti"
 
Taarifa ndani ya serikali zinasema.

1. Tanesco inaelekilea kufikisika

2. Mabwawa ya kuzalishia umeme karibu yaishiwe maji

3. Hakuna fedha za kununulia mafuta ya kuendeshea mitambo ya kuzalisha maji

4. Makamouni ya mafuta yanameza karibu kiasi chore kinachokusanywa.

5. Presha au mkandamizo unaotoka Songosongo ni ndogo mno.

Tayari mgao wa uneme umeanza katika mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Morogoro, Mwanza, Mbeya na Shinyanga.
 
Back
Top Bottom