Naomba kuwashirikisha hili wana fikra pevu.
Waratibu wa sensa wanatuambia sensa itaanza usiku wa kuamkia Aug 26.
Nachelea vibaka na wezi wasije tumia mwanya huo, wanakuja kukugongea saa 9 usiku, wakijidai ni kina Ngoswe(makarani wa sensa),
kwa nia njema ukafungua, wakakupora mali na roho.
Nadhani watu wa sensa wanapaswa kutoa elimu na tahadhari zaidi kwa umma kuhusu hili suala.
Waratibu wa sensa wanatuambia sensa itaanza usiku wa kuamkia Aug 26.
Nachelea vibaka na wezi wasije tumia mwanya huo, wanakuja kukugongea saa 9 usiku, wakijidai ni kina Ngoswe(makarani wa sensa),
kwa nia njema ukafungua, wakakupora mali na roho.
Nadhani watu wa sensa wanapaswa kutoa elimu na tahadhari zaidi kwa umma kuhusu hili suala.