Tahadhari: Tutarajie hoja ya misaada ya mashoga kutumiwa kisanii kuwahadaa wananchi

RMA

JF-Expert Member
Oct 10, 2010
409
87
Tayari serikali ya ccm iko mahututi. Ni ufisadi umewafikisha hapo walipo kiasi kwamba hawana hoja za kuwadanganya wananchi kuhusu ugumu wa maisha. Wananchi wanaelewa kinachoendelea. Lakini nionavyo mimi: Sasa watapata mahali pa kupumulia! Usanii wa kisiasa utatungwa ili kuwadanganya wananchi wasio na uelewa mpana kwamba ugumu wa maisha tulio nao ni kwa sababu ya kukataa kuruhusu ushoga ili tupate misaada! Subirini tu mtazisikia kauli za namna hiyo hivi karibuni.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Na kweli hawa wapuuzi wasio na haya wanaweza kuwadanganya wavivu wa kuchanganua mambo... Yaani mimi natamani misaada yote ingezuiwa ili tutie akili.
 
Tayari serikali ya ccm iko mahututi. Ni ufisadi umewafikisha hapo walipo kiasi kwamba hawana hoja za kuwadanganya wananchi kuhusu ugumu wa maisha. Wananchi wanaelewa kinachoendelea. Lakini nionavyo mimi: Sasa watapata mahali pa kupumulia! Usanii wa kisiasa utatungwa ili kuwadanganya wananchi wasio na uelewa mpana kwamba ugumu wa maisha tulio nao ni kwa sababu ya kukataa kuruhusu ushoga ili tupate misaada! Subirini tu mtazisikia kauli za namna hiyo hivi karibuni.

Hizo fikra zako za kipuuzi unazo wewe peke yako. Watu wanajua kwamba hakuna msaada uliositishwa na kama ulidhani kwamba msaada umesitishwa ili na wewe utafute kitu cha kuishutumu serikali basi fikiria upya!
 
Tayari serikali ya ccm iko mahututi. Ni ufisadi umewafikisha hapo walipo kiasi kwamba hawana hoja za kuwadanganya wananchi kuhusu ugumu wa maisha. Wananchi wanaelewa kinachoendelea. Lakini nionavyo mimi: Sasa watapata mahali pa kupumulia! Usanii wa kisiasa utatungwa ili kuwadanganya wananchi wasio na uelewa mpana kwamba ugumu wa maisha tulio nao ni kwa sababu ya kukataa kuruhusu ushoga ili tupate misaada! Subirini tu mtazisikia kauli za namna hiyo hivi karibuni.

You are very right ......serikali ya JK imepata kuti la kujishika....itawajaza upepo karibuni....
 
Hizo fikra zako za kipuuzi unazo wewe peke yako. Watu wanajua kwamba hakuna msaada uliositishwa na kama ulidhani kwamba msaada umesitishwa ili na wewe utafute kitu cha kuishutumu serikali basi fikiria upya!
Ukweli unauma lakini habari ndo hiyo! Hata kama hakuna msaada uliositishwa, bado ccm itaibuka na kauli ya usanii wa uongo kwamba hali ngumu ya maisha ni kwa sababu ya kukataa misaada yenye masharti. Tofauti na hapo hebu semeni mtapumulia wapi.
 
Tayari serikali ya ccm iko mahututi. Ni ufisadi umewafikisha hapo walipo kiasi kwamba hawana hoja za kuwadanganya wananchi kuhusu ugumu wa maisha. Wananchi wanaelewa kinachoendelea. Lakini nionavyo mimi: Sasa watapata mahali pa kupumulia! Usanii wa kisiasa utatungwa ili kuwadanganya wananchi wasio na uelewa mpana kwamba ugumu wa maisha tulio nao ni kwa sababu ya kukataa kuruhusu ushoga ili tupate misaada! Subirini tu mtazisikia kauli za namna hiyo hivi karibuni.

Hali zao sasa hivi ni mbaya sana. Wanaweza kuropoka lolote ili kuwahadaa Wananchi...Na kama ulivyosema wanaweza kabisa kulitumia hili ili kujiongezea umaarufu wasiokuwa nao.
 
Back
Top Bottom