Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Jamani kuweni makini siku hizi hasa mitaa ya Posta na Kariakoo kumeibuka mtindo wa aina yake ya uporaji kwa abiria kwenye Taxi. Kinachofanyika hasa mida ya jioni kuna Taxi huwa zinasanya abiria watano kwa elfu 2 toka Posta na Kariakoo kumbe ndani ya wale abiria wanne pamoja na dereva lao moja wewe ukiongezeka kutimiza idadi ya watano gari inasepa lakini wanakupeleka chobingo na kukupora Simu, pochi, saa na hata viatu n.k
Kuweni makini na Taxi 'bubu' hizo za mujini
Kuweni makini na Taxi 'bubu' hizo za mujini