WISE BOY
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 782
- 243
wameweka madoido mengi mpaka sasa yanakera na yanafanya wasahau dhumuni kuu la mawasiliano, mbali na kutopatikana siku hz kuna katabia wanakuwekea matangazo au nyimbo ukisikiliza mpaka mwisho ndo unaambiwa "mteja uliyempigia hapatikani kwa sasa", that is NONSENSE