Inategemea na muajiri, wengine hawana mambo ya uswahili wa kupotezapoteza muda, usipopatikana hewani imekula kwako.Wewee sio ishu ya simu kama vigezo vipo utapigiwa mara nyingi mpaka upatikane!
nimetupa line yangu ya tigo jamani, kwanza wali[poanza kale kamchezo ka voice mail. Waache basi voda au airtel wakianzisha kamchezo ndo waige wenyewe hawana wataalamu wa kutosha. nikajiondoa. Kwanza nilishaenda kuwawakia walikuwa na kamchezo cha kuwaandikia customer wangu kuwa mtu mwenye namba hii hana salio la kutosha mpigie sikupenda na ndo ulikuwa mwisho wao.