RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
ebwana mnajua hivi sasa tigo wanachangisha 150ml kutoka kwa wateja! Ubaya ni kwamba wanalazimishia michango, kwa mfano ukitaka kujiunga na exstreme sms upate msg 100 utaambiwa huna salio, au itakaa kimya hawajibu! nawe utatry tena kutuma kumbe bwana washe--nzi tupu hao hawana maana, imagine nimejiunga nipate unafuu wa kutoa habari flani ya matatizo, wamenila hela kibao km 4000/=. nyie TIGO msituzengue hata kidogo mtu kuingia ktk promotion ni hiari yake hakuna kulazimishana!imagine nilikuwa maporini na siwezi kupata hela? issue ndogo but zinaweza kimbiza wateja, airtel, voda wote bei mle mle tuu msituchafue hamna adabu! habari ndo hiyo!