Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
- Thread starter
- #41
Kuna mwingine kule kwa kina Rev masanilo alikuwa anatabia kila akiona binti mrembo lazima atie neno
Siku moja saa saba anatoka baa akakutana na mwanamke mzuri kama malaika anapotembea ni kama nguva ndani ya bahari
Jamaa katia neno Bi dada akasema yes sir haina neno,jamaa na pupa zake akabanjua na binti mrembo baadae Binti akamwambia yeye ni nani,
na kila siku akawa lazima atokee kwa jamaaktk mazingira ya kutatanisha apate dose yake
Jamaa ,akaanza kuchanganyikiwa bila sababu na mpaka kupelekea uhai wake kuondoka
Bwana Masa kama ni kweli hebu nambie hiki kisa nilikikuta kwenu Zenj mitaa fulani :wink2:
kwa nini haya yamejaa sana ukanda wa pwani au uswaz coz of bahari au ukienda maeneo ya kasikazni au ukana wa kat hayapo haya