Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Wanabodi
Nawataadhalisha wanajamvi kuna ndugu yangu amapatwa na tatizo baada ya kununua maji ya barabarani ( Uhai)
mtaa ya magomeni akiwa anaenda mwenge, alinunua chupa moja ya maji kutoka kwa wauza maji lakini alipofika mwenge
alikuwa amesinzia kwenye gari, konda wakasadia kumpeleka kituo kidogo cha police lakini kwenye gari alikuwa ameibuwa kila kitu
Alipopimwa amekutwa na amawekewa madawa ya kulevya ndo ya lisababisha asinzie mpaka sasa bado anasinzia sinzia tokea jana
Onyo
Kuwa makini na vitu vya kula/kunywa vya barabarani(hasahasa wauza maji):A S embarassed:
Nawataadhalisha wanajamvi kuna ndugu yangu amapatwa na tatizo baada ya kununua maji ya barabarani ( Uhai)
mtaa ya magomeni akiwa anaenda mwenge, alinunua chupa moja ya maji kutoka kwa wauza maji lakini alipofika mwenge
alikuwa amesinzia kwenye gari, konda wakasadia kumpeleka kituo kidogo cha police lakini kwenye gari alikuwa ameibuwa kila kitu
Alipopimwa amekutwa na amawekewa madawa ya kulevya ndo ya lisababisha asinzie mpaka sasa bado anasinzia sinzia tokea jana
Onyo
Kuwa makini na vitu vya kula/kunywa vya barabarani(hasahasa wauza maji):A S embarassed: