Tahadhari: Mafuriko makubwa kutokea Tanzania

Hata hivyo utabiri huu hauhusishi maeneo ya Magogoni!!!!! Kule mvua haifiki ila maji yaweza kupita tu!!!
 
Poleni sana! Karibuni Dodoma, mkoa unaopokea mvua mara moja kwa mwaka. Huku mafuriko ni neno la kichina.
 
Waungwana,
kuna wingu zito sana limeanza kutanda Dsm,watu wameanza kuingia hofu kufuatia tahadhari iliyotolewa jana...zidisheni sala maafa yasijiludie.
Wale wa mabondeni tuanze kuwastua ndugu zetu wakimbie,maana wengi tuliludi kufukua vitu vyetu..

Msiseme sikusema.

tulizidisha sala ili kuomba mvua kwa ajili ya umeme, sasa Mungu amejibu maombi yetu. Tuhame tu mabondeni ili mvua iendelee kunyesha na kupata umeme. Si unaona magao wa nishati hiyo sasa hivi hakuna?
 
kwa taarifa yenu hatuhami najua mnaona wivu chai, ugali na ubwabwa wa bure tunaopiga kwenye makambi yetu....na kama kawaida mama yetu Tibaijuka kasema atatujengea nyumba za "faiba" so itakuwa ni mwendo wa kuelea........jamani kuishi mabondeni raha mvua njoo tuendelee kubunya vya bure.....
 
Waungwana,
kuna wingu zito sana limeanza kutanda Dsm,watu wameanza kuingia hofu kufuatia tahadhari iliyotolewa jana...zidisheni sala maafa yasijiludie.
Wale wa mabondeni tuanze kuwastua ndugu zetu wakimbie,maana wengi tuliludi kufukua vitu vyetu..

Msiseme sikusema.

tulizidisha sala ili kuomba mvua kwa ajili ya umeme, sasa Mungu amejibu maombi yetu. Tuhame tu mabondeni ili mvua iendelee kunyesha na kupata umeme. Si unaona magao wa nishati hiyo sasa hivi hakuna?
 
Ila wabongo ni wabishi sana jamani

wanataka kuipalawama serikali ya bureeeeeeeeeeeeeeeeee

Bado watu wameiba magodoro ya msaada na kwenda nayo ktk makazi yao ya MABONDENI,hawajari hata utabiri wa hali ya hewa utolewao na TMA

jamani hao watu wanataka nini?
 
Huku mbez ma thunder yanaunguruma balaa, yombo bonge mvua inshort mambo yameanza.
 
kwa taarifa yenu hatuhami najua mnaona wivu chai, ugali na ubwabwa wa bure tunaopiga kwenye makambi yetu....na kama kawaida mama yetu Tibaijuka kasema atatujengea nyumba za "faiba" so itakuwa ni mwendo wa kuelea........jamani kuishi mabondeni raha mvua njoo tuendelee kubunya vya bure.....


hahahahahahahahahaha
unachosema sio utani,ni kweli kabisa hicho ndicho wanachokiombea watu wa mabondeni,wao wanajali misaada zaidi kuliko maisha yao
 
Mafuriko ya kujitakia serikali legelege haiwezi kufanya lolote la maana angalau kwa kupanga mji ili watu wakae kwa amani...hii serikali ovyo
 
tulizidisha sala ili kuomba mvua kwa ajili ya umeme, sasa Mungu amejibu maombi yetu. Tuhame tu mabondeni ili mvua iendelee kunyesha na kupata umeme. Si unaona magao wa nishati hiyo sasa hivi hakuna?


Hapo sasa,

Yaani tunajichanganya na kumchanganya huyo Mungu mwenyewe...Ni juzi juzi tu tulikuwa tunakesha na kuomba mvua ili Ngeleja asifukuzwe kazi...Sasa tunanza tena kuomba ili watu wasihame mabondeni??

Sijue baadaye tutaomba nini?? Kama tungekuwa watoto, zawadi yetu ingekuwa bakora!!
 
Bora tu msibunywe na nyinyi.

kwa taarifa yenu hatuhami najua mnaona wivu chai, ugali na ubwabwa wa bure tunaopiga kwenye makambi yetu....na kama kawaida mama yetu Tibaijuka kasema atatujengea nyumba za "faiba" so itakuwa ni mwendo wa kuelea........jamani kuishi mabondeni raha mvua njoo tuendelee kubunya vya bure.....
 
@all,

acheni dharau,hakuna anayependa kukaa mabondeni,wala hakuna anayependa mafuriko..mlitaka tukapange Mbezi,Mikocheni au Masaki?

Na atuondoki mpaka kieleweke.
 
Back
Top Bottom