Nimezoea kuwasikia wakitabiri post-tukio, wameanza lini kutabiri pro-tukio?. Anyway tuchukue tahadhariKama hiyo tahadhari imetolewa na mamlaka ya hali ya hewa ya nchi hii, hata haina haja ya kuhofia kwani wanaweza wakasema mvua itanyesha badala yake bonge la jua linatandika.
Kuna taarifa imetolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa kuwa watu wawe na tahadhari kwani kuna uwezekano wa kunyesha mvua kubwa sana kama ilivyotokea hv majuzi.
Mvua hizo zitaathiri mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Mtwara, Lindi, Unguja, Mbeya, Iringa, Dodoma, Singida, Rukwa, Tabora na Kigoma.
Kwa wale wanaoishi Dar watakubaliana na hili hasa ukiangalia upande wa Magharibi kuna wingu kubwa limetanda.
Source: Clouds FM
Nimezoea kuwasikia wakitabiri post-tukio, wameanza lini kutabiri pro-tukio?. Anyway tuchukue tahadhari
Kuna taarifa ambayo TBC1 wameitoa kama habari mpasuko usiku huu nafikiri. inahusu mvua maana nimekuta inaishilia. Maneno ya mwisho niliyoyasikia ni kuwa watu wa mabondeni wachukue tahadhari. Kuna yeyote aliyeisikia taarifa kamili atujuze?
Kama hiyo tahadhari imetolewa na mamlaka ya hali ya hewa ya nchi hii, hata haina haja ya kuhofia kwani wanaweza wakasema mvua itanyesha badala yake bonge la jua linatandika.
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania, imetoa taarifa kua kuanzia kesho mpaka Mwaka mpya kunatarajia kuanza kunyesha mvua kubwa kuliko maelezo! Mikoa itakayokubwa na kadhia hyo ni Dar km kawa, Kgm, Singda, Ddma, Iringa, Mtwara, Pwani, Tanga, Mbeya, Morgr. Wakazi wa mabondeni hasa wale wabishi wanatakiwa kuyaaga makazi yao mara moja kabla ya kukutwa na hiyo noma!
Nawasilisha. (Source; TBC1)
Kama hiyo tahadhari imetolewa na mamlaka ya hali ya hewa ya nchi hii, hata haina haja ya kuhofia kwani wanaweza wakasema mvua itanyesha badala yake bonge la jua linatandika.