Delegate
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 331
- 201
Hapa ni mahali pengine,nyie huko mmezoea kumdharau Rais wenu na mawaziri wenu kutokana na sababu mnazojua nyie,hapa ni tofauti ukija hapa ukaleta madharau kwa viongozi wa nchi hii unakamatwa mara moja na kurudishwa kwenu,juzi juzi alikuja mhubiri maarufu kutoka Tanzania akaongea neno fulani lisilo zuri kwa kiongozi wa nchi hii,kwa taarifa tu ni kwamba ilikuwa ahubiri siku tatu lakini alikimbizwa siku hiyo hiyo,japo uongozi wa kanisa unaficha lakini tumeshagundua,Watanzania maneno yenu yatawaponza!!kama mna viongozi wabovu msifikiri ni kila taifa wana viongozi kama wenu!