Tahadhari kwa wote mnaotaka kutembelea Botswana

Delegate

JF-Expert Member
Jan 4, 2012
331
201
Hapa ni mahali pengine,nyie huko mmezoea kumdharau Rais wenu na mawaziri wenu kutokana na sababu mnazojua nyie,hapa ni tofauti ukija hapa ukaleta madharau kwa viongozi wa nchi hii unakamatwa mara moja na kurudishwa kwenu,juzi juzi alikuja mhubiri maarufu kutoka Tanzania akaongea neno fulani lisilo zuri kwa kiongozi wa nchi hii,kwa taarifa tu ni kwamba ilikuwa ahubiri siku tatu lakini alikimbizwa siku hiyo hiyo,japo uongozi wa kanisa unaficha lakini tumeshagundua,Watanzania maneno yenu yatawaponza!!kama mna viongozi wabovu msifikiri ni kila taifa wana viongozi kama wenu!
 
i.d.iots ukimwi utawaua huko botswana ..sisi inatuhusu nini botswana yenu?

hujui ukimwi ni janga la dunia??nilikuwa naheshimu point zako kumbe na wewe ovyo kabisa,ni tahadhari tu natoa kwa ndugu zangu
 
Hapa ni mahali pengine,nyie huko mmezoea kumdharau Rais wenu na mawaziri wenu kutokana na sababu mnazojua nyie,hapa ni tofauti ukija hapa ukaleta madharau kwa viongozi wa nchi hii unakamatwa mara moja na kurudishwa kwenu,juzi juzi alikuja mhubiri maarufu kutoka Tanzania akaongea neno fulani lisilo zuri kwa kiongozi wa nchi hii,kwa taarifa tu ni kwamba ilikuwa ahubiri siku tatu lakini alikimbizwa siku hiyo hiyo,japo uongozi wa kanisa unaficha lakini tumeshagundua,Watanzania maneno yenu yatawaponza!!kama mna viongozi wabovu msifikiri ni kila taifa wana viongozi kama wenu!

Vipi, jamaa aligusia uCameron wa kiongozi?
 
hujui ukimwi ni janga la dunia??nilikuwa naheshimu point zako kumbe na wewe ovyo kabisa,ni tahadhari tu natoa kwa ndugu zangu

Mkuu tunashukuru sana kwa kutupa tahadhari, na nakubaliana na wewe kwamba wakati mwigine uhuru ukizidi mipaka inakuwa fujo. Mimi wakati mwingine huwa sipendi kabisa watu wengine wanapo muhita majina ya kila aina Raisi wetu; anaweza kuwa na mapungufu yake kama binadamu wingine lakini anapashwa kuheshimiwa na siyo mabo ya name CALLING, AIPENDEZI HATA KIDOGO.
 
Botswana mazoba! hadi rais wao anafikia hatua ya kuonesha kidole kwa waziri wake wa kike na kusema "Nitafutieni mke.Asiwe mke mnene kama huyu" huo ni unyanyasaji mtupu
 
Hapa ni mahali pengine,nyie huko mmezoea kumdharau Rais wenu na mawaziri wenu kutokana na sababu mnazojua nyie,hapa ni tofauti ukija hapa ukaleta madharau kwa viongozi wa nchi hii unakamatwa mara moja na kurudishwa kwenu,juzi juzi alikuja mhubiri maarufu kutoka Tanzania akaongea neno fulani lisilo zuri kwa kiongozi wa nchi hii,kwa taarifa tu ni kwamba ilikuwa ahubiri siku tatu lakini alikimbizwa siku hiyo hiyo,japo uongozi wa kanisa unaficha lakini tumeshagundua,Watanzania maneno yenu yatawaponza!!kama mna viongozi wabovu msifikiri ni kila taifa wana viongozi kama wenu!
si umseme tu bro? juzi ulikuja na ukamsifia mwingira hapa, wengi tulieleza alivyo nyoka, ukaishia kusema nabii haheshimiki kwao. leo unasema amefukuzwa. nini sasa hii
 
Hapa ni mahali pengine,nyie huko mmezoea kumdharau Rais wenu na mawaziri wenu kutokana na sababu mnazojua nyie,hapa ni tofauti ukija hapa ukaleta madharau kwa viongozi wa nchi hii unakamatwa mara moja na kurudishwa kwenu,juzi juzi alikuja mhubiri maarufu kutoka Tanzania akaongea neno fulani lisilo zuri kwa kiongozi wa nchi hii,kwa taarifa tu ni kwamba ilikuwa ahubiri siku tatu lakini alikimbizwa siku hiyo hiyo,japo uongozi wa kanisa unaficha lakini tumeshagundua,Watanzania maneno yenu yatawaponza!!kama mna viongozi wabovu msifikiri ni kila taifa wana viongozi kama wenu!

i.d.iots ukimwi utawaua huko botswana ..sisi inatuhusu nini botswana yenu?

hujui ukimwi ni janga la dunia??nilikuwa naheshimu point zako kumbe na wewe ovyo kabisa,ni tahadhari tu natoa kwa ndugu zangu

unajaribu kusema nini? kwamba kutokubali Criticism ndio ubora wa kiongozi? halafu naona na wewe umekua kama haohao viongozi, maana mtu akiwaza tofauti kidogo tu na unavyotaka wewe anaweza kupoteza heshima kutoka kwako, kama ilivotokea kwa Saint Ivuga
 
Napata picha kuwa Botswana demokrasia ni ndogo sana ama la basi uhuru wa vyombo vya habari na wa raia umedhibitiwa hasa!!!chama kimoja nini??kwa nini wananchi wamefika hapo?tofauti kabisa na majirani zao wote hapo??kuna tatizo hapo!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom