TAHADHARI!! Kwa Wenye Mpango Na Mnaotaka Kwenda Kufanya Kazi Za Ndani Uarabuni! Haya Yanatokea Sana!

Zamani miaka kama kumi iliyopita hata kuyaandika haya ilikuwa ngumu, ila sasa yanaanza kuzoeleka.....na yanafanyika hapahapa bongo....huna haja ya kwenda arabuni.....Pro and Cons za Utandawazi....Ni kipindi kigumu sana hiki hasa kulea watoto huko Boarding school, si kwa wanaume tu, kwa akina dada ndio balaa....wana saga unga mpaka.....Bwana uturehemu.
 
Huwezi ukasema uarabuni tu, kwa maana uchimvi kama huo hata wabeba box ulaya wanafanyiwa sana tu, cha msingi ni kufundisha jamii wasiendekeze uchimvi, mana hata uarabuni na kwengineko waswahili wenyewe ndio wenye business zao za kuleta wachimvi, wala musilipinge. Na msema peke hana kosa
 
nilisikitishwa sana jana wakati nasikiliza redio moja ya kenya ambapo jamaa mmoja mkalenjini kwa kabila anayeanzia na jina la joseph (ubin wake nimeusahau) alipokuwa akielezea kwa uchungu mazira yaliyomkuta alipokwenda kufanya kazi katika nchi moja ya kiarabu,kisa chake kinaanza kwamba mnamo mwishoni mwa mwaka jana alipata kazi ya uhouse boy katika nchi mojawapo za huko uarabuni,anadai kwamba kazi iliendelea vizuri sana mpaka miezi ya mwanzoni mwa mwak huu pale alipogundua kwamba mood ya bosi wake mzee mwenye nyumba imebadilika sana juu yake bila ya yeye kujua sabab hasa ya msingi.anadai kuwa kuna siku bosi wake alimwita chumbani na kuanza kutaka kulala naye na alipokataa bosi akaanza kumlazimisha wakati huo mke wa bosi alikuwa hayupo katoka toka asubuhi,kumlazimisha kuliendelea na madai hasa si kwamba bosi alikuwa anataka alalwe bali alikuwa anataka kumlalia joseph alipoona anakataa sana bosi akatoa pendekezo kwamba joseph kama anaona hatari sana basi aanze kumlala yeye bosi yaani bosi alaliwe kwanza kisha bosi amlale josephy kitendo ambacho pia josephy alikataa pia. Basi si muda mkewe akarudi na bosi akatulia lakini akaanza kuonyesha mateso kama vile kutompa chakula ila kila siku jamaa alikuwa akimsisitizia kuhusu hilo suala.alipoona ankonda sana alifanikiwa kutoroka akenda ubalozini kwao nao wakamrudisha kenya sasa anaishi jijini nairobi na wala hana mpango wa kurudi tena uarabuni.
Je hiki ni kisa ch ajabu kwako? Hivyo kaeni chonjo kwa wenye mpango wa kwenda nchi hizo zilizobarikiwa kwa utajiri wa mafuta.
Je kuna mkasa wowote ule wa kusikitisha unaofanana na huu unaoujua? Fungukeni wadau!!!!



michezo iyo waarabu wanayo sana,,na kwa kiasi kikubwa sasa imesambaa kwa jamii nyingi sana
vizuri kwa angalizo
kumbe nia yao sio kuwapatia kazi siyo?
Ni kuwafanya ndugu zetu kua "mtoto huyu vipi,,mtoto hashikikiii,,,,hashughulikiiii mtoto sio ridhkiiii"
dah,laana kubwa sana hiyo
 
inabidi kuelimisha watoto wetu - familia kwa ujumla - toka wadogo - wape tahadhari -
wengine wakona graphics kwenye mitandoa wanataka kujaribu - oh my God ...........SODOMA NA GOMORAH - imeingia live katika his end times -peple PRAY - PRAY - EDUCATE OTHERS :confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:
 
huo ni ukosefu wa maadili na kuwa na akili za kuku ambae unamfukuza ndani ya kd 2 anarudia ki2 hichohicho ukiwa kama mtanzania ebu jitazame kwenza
 
mhhh jmn, mmenitisha nina rafiki yangu nimemuunganiashia kazi ya uhaouse gel huko dubai, but wanaoishi huko ni watanzania ndyo atenda fanya kazi kwao.... je ako kwenye hyo risk pia? jus wondering:eek:hwell::shut-mouth:
 
Aisay mwafrika anavyo mchukia mwarabu we wacha tu, angekuwa mzungu anawazamishia mge msifia tu.
 
mhhh jmn, mmenitisha nina rafiki yangu nimemuunganiashia kazi ya uhaouse gel huko dubai, but wanaoishi huko ni watanzania ndyo atenda fanya kazi kwao.... je ako kwenye hyo risk pia? jus wondering:eek:hwell::shut-mouth:

asubiri kuliwa tigo tu huyo.
 
wanawapenda wazungu sababu wazungu huwa wanazamishwa wao lakini huwa hawawapendi kabisa wagiriki.
Afu huyo mkenya hata kama kaliwa tigo na yule mwarabu unadhani atasema, si lazima atakataa.

Ni mfano wa malaya, mtu aende sehemu anajiuza malaya afike anze kusema we malaya njoo hapa, unadhani malaya atakubali kuitwa malaya, hata kama yeye ni malaya.


Mwanaume yule mwanaume kuongelea mambo ya ki so so huwa ni vigumu sana, huyo nashaka kisha liwa tigo sema hakulipwa ndo analamika ki aina aina


Afu mbona siku hizi nchi za kiarabu malaya wengi tu wanatokea kila upande wa africa na east europe , anataka nini ale joto la kiume :biggrin1:
 
Afu huyo mkenya hata kama kaliwa tigo na yule mwarabu unadhani atasema, si lazima atakataa.

Ni mfano wa malaya, mtu aende sehemu anajiuza malaya afike anze kusema we malaya njoo hapa, unadhani malaya atakubali kuitwa malaya, hata kama yeye ni malaya.


Mwanaume yule mwanaume kuongelea mambo ya ki so so huwa ni vigumu sana, huyo nashaka kisha liwa tigo sema hakulipwa ndo analamika ki aina aina


Afu mbona siku hizi nchi za kiarabu malaya wengi tu wanatokea kila upande wa africa na east europe , anataka nini ale joto la kiume :biggrin1:

hahahaha!! ila kweli m2 akiliwa tigo hawezi kukubali hata siku moja,yote yanawezekana bwana,dah!!
 
Back
Top Bottom