Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Du, uwe tayari kutoa ulinzi kwa wengi, ila hujasema gharama za huo ulinzi
free of charge.
Du, uwe tayari kutoa ulinzi kwa wengi, ila hujasema gharama za huo ulinzi
Pole mkuu kwa waliyokukuta.
\free of charge.
\
mmmmmh....
lakini ni jambo linalojulikana wazi kwamba ukienda hotelini hata iwe ya gharama kiasi gani, vitu kama latop na pesa na vidani unavikabidhi reception na unapewa risiti, sasa ilikuwaje KakaKiiza akaacha laptop chumbani?
Mchawi mpe mtoto alee
Kisheria, kama walikulipa nusu ni kwa good will tu maana mara nyingi mizigo kama hiyo ikipotea na kulikuwa na tangazo, inakuwa imekula kwako mkuu
next time ukienda nambia nikuelekeze kwa wenyeji lol