Tahadhari kwa wanawake walioolewa

me nimeolewa.
Kwanza kabisa housegal ni kama binti katika familia anayofanya kazi.kiukweli jiulizei aliotoka hadi akaingia ndani kwako amefuata nini? kama mama siwezi kumruhusu binti yangu atembee na wanaume eti kumaliza ashki,JIULIZE angekuwa binti yako yakumzaa ungekubali mtu anaemlea amfanyie hivyo? Leo hii kesho wazazi wake wakisiki habari kama hii itakuwaje? Kama house gal anatakiwa kujua kilichomleta maana hata alipotokoa mb... kaziaacha kibao si lazima ya mume wangu. Na je, kabla hajaja tulidiscuss vp hadi tukaamua tulete house gal?is it ili alale naye?

Pili, mume wangu hana sababu yakulala na binti wa kazi eti kwa sababu anafanya kazi kuliko mimi. Kama ni hivyo basi niache kazi nikae home kumreplace house gal Huuby ataagree na maisha yalovyo magumu nowadays?
Kutokana na ubize nlionao ila cwezi kumnyima K ni haki yake so anapoamua kulala na HG ni tamaa zake tu maana hata katika mizunguko yake ya kila siku anakutana na wangapi hadi leo hii aamue tu kulala na binti wa kazi ,HAPANA hizo ni tamaa zake tu za mwili.

Mwisho I speak from experience coz am in it,kama HG anatakiwa kujua mipaka yake n so my hubby n I.

Wengi wenu mkituambiaga mmechoka kinachofuata ni kinyume na hapo kwenye bold!
 
Wengi wenu mkituambiaga mmechoka kinachofuata ni kinyume na hapo kwenye bold!

Wewe huwa hauchoki? Kwanini usimuelewe tu mwenzako kama kweli amechoka?? Unajiangalia mwenyewe tu sio? Na kama unaona kuchoka umekuwa ni wimbo wa kila siku ambao mkeo anautumia, kwa nini usimchane live?
 
Je mlishawahi kujiuliza ni kwa nini ma-house girl huwavutia waume zenu kuliko nyie wake zao?

Nyie wanawake ndio wa kujilaumu kwa sababu tatizo liko kwenu na sio kwao wala kwa waume zenu…………………

Najua hapo pua zimewasimama kwa kutaka kubisha……………….. Lakini leo Mtambuzi mtanitambua maana nataka niwafunde……

Ni hivi:

House girl hufanya kazi nyingi kuliko muolewaji……….. najua mtadai kuwa huo ni wajibu wao kwa sababu ya kijimshahara cha elfu thelathini mnachowalipa……lol…….. amkeni nyie acheni ujinga wajibikeni ili mlinde ndoa zenu. Mwanaume hutazama nani anawajibika ndani ya nyumba kuliko mwingine………. Yaani hata chai ya jioni ya mumeo atayarishe house girl? Mwanaume hupenda mtu anaye m-handle na kum-care kwa kila jambo, na hata kama wewe hufanyi, basi fuatilia kuhakikisha linafanyika kwa usahihi.

Hebu angalia ujinga mwingine mnaofanya…….. mnawazuia ma-house girl wenu wasiende kwa mabwana zao kumaliza ashiki zao za kimwili…….. wapeni nafasi nao wafurahishe miili na akili zao! Wasipochangamsha miili yao na mabwana zao ni rahisi kujirahisisha kwa waume zenu na waume zenu wakionja tu hawataacha maana hupata ladha ambayo nyie hamna…..lol …………….. na mkiwakatia tiketi kuwarudisha makwao waume zenu watawapa nauli ya kurudia………. Kwani hamjui kwamba, muonja asali haonji mara moja? Na wakirudi hupangishiwa mahali pa kukaa na mchezo unaendelea.

Jamani hebu amkeni, mie nimechoka kusikia hizi kesi mnazolalamika kila uchao kuwa mnazidiwa kete na ma- house girl……………
Sikukuu njema

watu wengi wenye mtazamo finyu huwa wanafikiri kama alivyoandika mtambuzi hapo juu, na watu wa aina hii ndio wale wakikutwa na kosa hukimbilia kusema 'shetani kanipitia'. Mwanamume kumpenda housegirl ipo sana lakini ni tamaa tu kama zingine za kupenda bar maid, kupenda mke w amtu ofisini, kumpenda mama lishe n.k. hii yote kwa ujumla wake ukosefu wa 'self discipline' kwa mwanamume husika. huduma zilizotajwa kutolewa kuwa ndio chanzo cha uchafuu huu zingeweza kutolewa na dada, binti, shangazi, mama mdogo, shemeji nk wa mume. na si rahisi usikie eti mwanamume baada ya kupata huduma nzuri kutoka kwa binti yake amemtongoza akatembea nae au hata kutoka kwa dadake, sana sana atatumia kigezo hicho cha huduma nzuri kumtongoza shemejie au housegirl, sasa hapa chanzo ni huduma au tamaa na tabia chafu ya mbwa???!!! wanawake tuna tafuta maisha /maendeleo na tuna ajira na shughuli zetu sambamba na wanaume, sasa kama unataka mwanamke aache kazi, biashara yake eti awahi kumpikia mume ili asimlale housegirl.... duh! binafsi sifanyi biashara hiyo akitaka amlale hata barabarani au sokoni shauri lao!
 
Back
Top Bottom