Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,395
Je, mlishawahi kujiuliza ni kwanini ma-house girl huwavutia waume zenu kuliko nyie wake zao?
Nyie wanawake ndio wa kujilaumu kwasababu tatizo liko kwenu na sio kwao wala kwa waume zenu…
Najua hapo pua zimewasimama kwa kutaka kubisha… Lakini leo Mtambuzi mtanitambua maana nataka niwafunde……
Ni hivi:
House girl hufanya kazi nyingi kuliko muolewaji……….. najua mtadai kuwa huo ni wajibu wao kwa sababu ya kijimshahara cha elfu thelathini mnachowalipa……lol…….. amkeni nyie acheni ujinga wajibikeni ili mlinde ndoa zenu. Mwanaume hutazama nani anawajibika ndani ya nyumba kuliko mwingine………. Yaani hata chai ya jioni ya mumeo atayarishe house girl? Mwanaume hupenda mtu anaye m-handle na kum-care kwa kila jambo, na hata kama wewe hufanyi, basi fuatilia kuhakikisha linafanyika kwa usahihi.
Hebu angalia ujinga mwingine mnaofanya…….. mnawazuia ma-house girl wenu wasiende kwa mabwana zao kumaliza ashiki zao za kimwili…….. wapeni nafasi nao wafurahishe miili na akili zao! Wasipochangamsha miili yao na mabwana zao ni rahisi kujirahisisha kwa waume zenu na waume zenu wakionja tu hawataacha maana hupata ladha ambayo nyie hamna…..lol …………….. na mkiwakatia tiketi kuwarudisha makwao waume zenu watawapa nauli ya kurudia………. Kwani hamjui kwamba, muonja asali haonji mara moja? Na wakirudi hupangishiwa mahali pa kukaa na mchezo unaendelea.
Jamani hebu amkeni, mie nimechoka kusikia hizi kesi mnazolalamika kila uchao kuwa mnazidiwa kete na ma- house girl……………
Sikukuu njema
Nyie wanawake ndio wa kujilaumu kwasababu tatizo liko kwenu na sio kwao wala kwa waume zenu…
Najua hapo pua zimewasimama kwa kutaka kubisha… Lakini leo Mtambuzi mtanitambua maana nataka niwafunde……
Ni hivi:
House girl hufanya kazi nyingi kuliko muolewaji……….. najua mtadai kuwa huo ni wajibu wao kwa sababu ya kijimshahara cha elfu thelathini mnachowalipa……lol…….. amkeni nyie acheni ujinga wajibikeni ili mlinde ndoa zenu. Mwanaume hutazama nani anawajibika ndani ya nyumba kuliko mwingine………. Yaani hata chai ya jioni ya mumeo atayarishe house girl? Mwanaume hupenda mtu anaye m-handle na kum-care kwa kila jambo, na hata kama wewe hufanyi, basi fuatilia kuhakikisha linafanyika kwa usahihi.
Hebu angalia ujinga mwingine mnaofanya…….. mnawazuia ma-house girl wenu wasiende kwa mabwana zao kumaliza ashiki zao za kimwili…….. wapeni nafasi nao wafurahishe miili na akili zao! Wasipochangamsha miili yao na mabwana zao ni rahisi kujirahisisha kwa waume zenu na waume zenu wakionja tu hawataacha maana hupata ladha ambayo nyie hamna…..lol …………….. na mkiwakatia tiketi kuwarudisha makwao waume zenu watawapa nauli ya kurudia………. Kwani hamjui kwamba, muonja asali haonji mara moja? Na wakirudi hupangishiwa mahali pa kukaa na mchezo unaendelea.
Jamani hebu amkeni, mie nimechoka kusikia hizi kesi mnazolalamika kila uchao kuwa mnazidiwa kete na ma- house girl……………
Sikukuu njema