Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Sasa itabidi unitumie za single, maana nilizo nazo zote umepiga na yule nanihiino!...kama hii hapa chini, itafaa kweli?
Duh! Kweli inabidi tujuane. Kumbe Preta ni kimobitel?
Sasa itabidi unitumie za single, maana nilizo nazo zote umepiga na yule nanihiino!...kama hii hapa chini, itafaa kweli?
.....au mnataka kuniambia JF ipo hadi motoni (ambapo wengi mtakwenda, am sure of that)...
zile picha zangu tafadhali uziweke kwenye album ukurasa wa kwanza....zisipotee....jasti in kesi....
Mh! Kuna watu machizi!!!Msinichekeshe wanaJF. Mtu akishakufa pole zitamsaidia nini, au mnataka kuniambia JF ipo hadi motoni (ambapo wengi mtakwenda, am sure of that).
Hapa msitake kusumbua watu, cha msingi wewe mwenyewe ukijijua unataka kufa toa taarifa mapema tukuandalie mapambio.
Na kuna mtu simuoni siku za karibuni, WASHAWASHA upo au umekufa komredi? Au 'umelog OFF' Jumla
Msinichekeshe wanaJF. Mtu akishakufa pole zitamsaidia nini, au mnataka kuniambia JF ipo hadi motoni (ambapo wengi mtakwenda, am sure of that).
Hapa msitake kusumbua watu, cha msingi wewe mwenyewe ukijijua unataka kufa toa taarifa mapema tukuandalie mapambio.
Na kuna mtu simuoni siku za karibuni, WASHAWASHA upo au umekufa komredi? Au 'umelog OFF' Jumla