Tahadhari hawa matapeli wa mjini

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Wana jf kweli kabla ujafa ujaumbika

kuna vijana wanajifanya wanawajua watu katika kuwatafutia watu kazi na kusafiri kwenda kusoma ,,napenda kuwatangazia wenye mwelekeo huo wawe makini

kuna kaka mmoja anaitwa kagonja ni kilema kidogo wa mguu(kumradhi)..inanibidi ili kuokoa watanzania wengi.huyu bwana ana kundi lake kubwa pale bilicanas na wanavaa suti na manda kwenye kitambi kama wanataka kuzaa!!!!huwa wanajifanya kula sare za nguo kama wafanyakazi wa usafi pale game..smart ..huyu bwana alimuingia dada mmoja na kumwambia anasehemu anaweza
kumpatia kazi na baya zaidi ni kwamba alikuwa ni rafiki mkubwa wa kaka wa huyo....baada ya hapo akamwahidi kazi na kumpa namba za kaka mmoja anaitwa mtui wa crdb...akachukua sh laki tano baada ya kuchukua kila akiulizwa mambo yanakwenda vizuri mwisho akafwata jamaa wa crdb ,,,alivyo mshenzi akasema njoo kesho saa nane alipofika alijifanmya anatoka mlango wa ofisi moja wapo na kuanza kuwasalmia wafanya usafi kama mfanyakazi....baadae akasema mambo yanaendelea vizuri mtaitwa kwenye interview...miezi sita sasa...na huyo kagonja kila akipigiwa apokei na anabadili namba zaidi ya kumi...hamad juzi kuna watu wanamtafuta pale billicanas kwa wizi wa kuwapeleka watoto shule muwe makini sana ndugu zanguni!!!!!

Kuna vibintii vimepigwa sana na huyu kilema akijidai anafanya crdb..


Watch out jf ladies n all readers

wenu

sitakishari
 
Duh hii sasa balaa utapeli kila kukicha unabuniwa upya bongo..hii ishu ya shule nimesikia wengi wanaongelea eti kuna madalali wanakufanyia mpango upate chuo iwe Mlimani ,Sua au Mzumbe kazi kwenu watahadhalisheni ndugu zenu wataingizwa mkenge hivihivi.Shauri yenu.
 
Mwisho akaenda kuuliza kwa wale dada akaambiwa hakuna kitu kama hicho huyo kaka amekuwa akija kwa kakayake hapo alipotoka kuja kuomba hela kila siku....

Akamuuliza unamfahamu mgonja akasema haaa yule kilema mwizi walimfukuza kwa sababu ya wizi halafu alikuwa anaharibu ndoa za watu pale ofisini wakamtimulia mbali akajibiwa dada hatujafika uko...maisha yake hayo...
 
Namba zao wanazotumia ni hizi na baadae wanabadilisha

huyu ndie tapeli mwandamizi....

Kagonja

0713 480474

mtui

===

ntawatafutia muda si mrefu...hawana hata haya ukiwaona pale mjini wananinginiza tai zao..na malipo kwa waliowaibia wote watalipwa hapa hapa dunia
 
Mama mia kuna kampuni nyingine inaitwa global grant tanzania hii pia inahusika na michezo hii mpaka kuforge affidavity na baadhi ya wafanyakazi wa benki haswa wa crdb tawi la lumbumba , hiyo globalgrant tanzania iko chini ya dada mmoja anaitwa grace naslund ila kwa hapa dar anapenda kujiita grace nabily kutokana na kijana ambaye anaishi nae sasa hivi anayeitwa issack nabily ambaye ni raia wa comoro hawa huwa wanapeleka wanafunzi chuo kimoja kinachoitwa london school of management inasemekana hivyo lakini hakun aushahidi wowote watu wanaliwa pesa za na hawajui wafanye nini , wengi wa hawa wanashirikiana na jeshi la polisi chochote kikitokea unakuta chap chap wanasawazisha
 
wanashirikiana na wafanyakazi wa benki haswa wa crdb tawi la lumbumba

shy
umejuaje??ulikuwa unaniona nini ndio nilikuwa nakuja huko mtani
sasa nafikiri tupeane ushauri nini cha kufanya maana EPA WANAJULIKANA
HAKUNA JIPYA NA HAWA PIA WANAJULIKNA TUFANYEJE NDUGU ZANGUNI!!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom