Kwa hali sii nzuri TZ,mauaji ya mara kwa mara kama ya Mwandishi wa habari,Kamanda kule Mwanza,Watu kujichukulia sheria mkononi na kuanza kuchoma makanisa N.K.Ki msingi nji nyingi zenye machafuko yalianza kidogo.Tunaomba viongozi wetu wawe wakali sana na kuchukua hatua kali sana kwa wanaohusika